Hakika mkuu,japo maudhui yenye kujenga ndiyo keypoint ya kuanzishwa forum hiiHamna maisha nje ya jf? Ingia angalia mada kama ni kubadilishana mawazo na members fanya hivo Toka endelea na maisha yako, tatizo watu wanafanya jf kama sehemu ya kutafta sympathy kwenye maisha Yao, mtu anakua anataka attention kutoka Kwa watu hata hamjuani....
Chai 😂😂😂😅😅😅Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
6. Inasikitisha sana1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Like za nini sasa kwenye mawazo yako mkuu? Wanawake mnadeal na vitu visivyo na maana kabisa.Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Ukichukulia kila kitu serious n ww ndo utakuwa unaumia, ndo mana sisi wengn mnasema bado watoto n kwa sababu hatuichukulii serious JF na ndivyo inavyotakiwa.Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Yaani ni utoto tupu yaaniJf ishageuka Kijiwe Cha Uzushi na Chuki Kitambo Sana.
Kuna sehemu unapitapita ila ukija kujua wanavyo kuongelea utachoka.