JF Arusha; Beyond keyboards......!!!!

Mwita Maranya

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2008
Posts
10,565
Reaction score
7,988
Wadau kwa heshima na taadhima naomba kukopa maneno ya mamaa wa Kericho; JF is beyond keyboards!!!!!!!!!!!

Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru wanaJF wote wa Arusha na wengine toka mikoa mbalimbali tuliokutana jana na juzi kwa mshikamano na ushirikiano ambao mmekuwa nao, tangu nilipopata nafasi ya kukutana nanyi december 2010 hadi hivi sasa mmepiga hatua kubwa sana.

Jambo kubwa na la msingi sana ni namna mlivyoweza kuji-organise na kujiwekea utaratibu mzuri sana kuanzia kuwa na viongozi na katiba inayowaongoza ili mfikie malengo mahsusi mnayokusudia kutekeleza.

Kwa namna ya pekee niwashukuru sana kwa ukarimu wenu na upendo kwa wanajf wote wanaopata nafasi ya kufika Arusha na kuonana nanyi, nami nikiwa ni shuhuda wa ukarimu wenu na upendo wenu, ninasema heshima sana kwenu.

Nimalizie kwa kuwashukuru kwa utaratibu niliouona jana tulipokuwa pamoja, hizi "couples" nimezipenda.

1.Mchungaji Saharavoice & Loner; newly upcoming couple, jana mlitisha, mko juu sana!!
2.Pakajimmy & Preta; Mkiendelea hivi nadhani Kericho kwisha habari yake!!
3.Filipo & Blackwoman; Equation ilikuwa imebalance vizuri sana, mlifunika!!
4.Easymutant & Mysoul; Kwakweli sina la kusema waliokuwepo walijionea wenyewe!!
4.Kimey & Wiselady; The best couple of the day!! Heshima kwako Kimey bila shaka "long distance" is no longer there!! Mchungaji saharavoice anatakiwa kuendelea kufanya maombezi na kutoa ushauri ili hatimaye mtumishi aendelee na huduma bila vikwazo.

Mwisho kabisa niwashukuru kamati ya maadili;

1. Vince-mwenyekiti wa kamati
2.Crashwise-Afisa habari wa kamati
3.GY-Mwekahazina wa kamati

PENDEKEZO;
Napendekeza mabadiliko ya katiba ili kuwepo na nafasi moja ya mwanachama wa heshima, na bila shaka Mwita Maranya atatunukiwa tuzo hiyo. Babu Asprin umechelewa hata kama unajiandaa kwenda Arusha, njia zote zimeshakabwa mpira hauwezi kupita labda ujaribu "long balls" ingawa kimo chako hakiruhusu mipira ya juu!!

Nawasilisha.
 
Nashukuru hakuna aliyenikamatia Lily Flower wangu.......... ningeua mtu
Sweetlady wa babu........... ningechinja mtu.
Msindima wa ODM............ Ningatafuna mtu.
 
Nashukuru hakuna aliyenikamatia Lily Flower wangu.......... ningeua mtu
Sweetlady wa babu........... ningechinja mtu.
Msindima wa ODM............ Ningatafuna mtu.

Hapo andika maumivu, huyo alikuwa amefichwa mahali, uliza uambiwe kiongozi.
 
Endeleeni kukutana wakuu w/end hii natia timu ntakuwa viwanja vya BUGALOO Njiro ..........................
 
Endeleeni kukutana wakuu w/end hii natia timu ntakuwa viwanja vya BUGALOO Njiro ..........................

Ukifika tu arachuga watafute mkuu, watu wa arachuga wako vizuri sana!!
 

Karibu sana kaka, na mimi ninashukuru sana kwa kukufahamu. Sahara Voice ana gear nyingi sana na mimi na sita.... Mchana mwema na karibu tena A-Town HQ...
 
Kudos............................where are JF members in Dodoma.......................Kaizerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!
 
Karibu sana kaka, na mimi ninashukuru sana kwa kukufahamu. Sahara Voice ana gear nyingi sana na mimi na sita.... Mchana mwema na karibu tena A-Town HQ...

Ahsante sana,

Mchungaji ana gear gani tena nyingine? huyo si ni mtumishi!!??
 

Nadhani mngehamia FaceBook pangewafaa sana. Ili muweke na picha zenu kwa uhuru zaidi.
Ni Mtizamo tu.
 
Nadhani mngehamia FaceBook pangewafaa sana. Ili muweke na picha zenu kwa uhuru zaidi.
Ni Mtizamo tu.

Hap hapa ndo penyewe, facebook kwa wauza sura tukafanye nini??

Hatahivyo kama ni uhuru hapa ni zaidi ya facebook!!
 
Kaka hapo kwenye kubalance equation!
Kwa kifupi jana ilikuwa burudani sana. Nilijisikia furaha. Walioikosa wamemic sana. Ingawa PJ anakazi ngumu ya kuzisitisha safari za kericho!
 
Karibu sana kaka, na mimi ninashukuru sana kwa kukufahamu. Sahara Voice ana gear nyingi sana na mimi na sita.... Mchana mwema na karibu tena A-Town HQ...
HTML:

Hivi ulifika salama? maana ilikuwa usiku sana.
halafu nieleze gear niliyokutia.
 
Kaka hapo kwenye kubalance equation!
Kwa kifupi jana ilikuwa burudani sana. Nilijisikia furaha. Walioikosa wamemic sana. Ingawa PJ anakazi ngumu ya kuzisitisha safari za kericho!

Safari za kericho lazima zikome, na PJ asipofanikisha mkakati wa kutoka kericho basi na uenyekiti anaukosa.
 
Sahara voice acha kutuyeyusha! Ina maana hujui ulimfikishaje Loner home?
 
Hivi ulifika salama? maana ilikuwa usiku sana.
halafu nieleze gear niliyokutia.

Mchungaji sasa unaonekana mbabaishaji, wewe si tulikukabidhi loner na kukutaka umfikishe chumbani kwake??

Au kazi ya utumishi inaanza kukushinda?
 
Safi sana wakuu........nadhani mwita unajua kilichonikimbiza mapema......kina Kimei hii sharing is caring wanaiandika kwenye kibodi tu ukiwakuta anga zao balaa!
 
Kudos............................where are JF members in Dodoma.......................Kaizerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!
Kaizer ni mwanachama hai wa JF Makao Makuu......... JJ pa Ukwee'''

Kaka hapo kwenye kubalance equation!
Kwa kifupi jana ilikuwa burudani sana. Nilijisikia furaha. Walioikosa wamemic sana. Ingawa PJ anakazi ngumu ya kuzisitisha safari za kericho!
Mkuu niandalie mbuzi choma pale kwa mromboo......
 
Mchungaji hajui alipomwacha kondoo wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…