JF Android and iOS app - Feb 2018 update

JF Android and iOS app - Feb 2018 update

Tunao tumia opera jf inatusumbua sana kwenye ku comment au kuanzisha mada

ukitoa comment inaweza kuonekana mara tatu au isionekane kabisa
 
Yote haya hayahusiani na App, ni mfumo wa JF.

1) Option ya mtu kufuta thread: Ugumu wake ni kuwa kuna watu hucheza na akili za wenzao, mtu amepoteza muda kushiriki kwenye mjadala wako kwa kuleta hoja zilizoshiba then mtu kwakuwa anaona mawazo yamekinzana na matarajio yake anataka afute mjadala kabisa!

2) Ku-edit thread title: Ndo maana tumeweka moderators; tukiacha mtu aweze badili atakavyo title si ajabu ukakuta mjadala wa jana una title tofauti leo na hata kesho title tofauti zaidi.

3) Kuweza kubadili majina: Tuliwahi jaribu hili, matokeo yake watu walianza mizaha ya ajabu. Mtu akiona member anajiita AKIDA anapendwa, yeye ana-edit jina lake anaandika AKIDA2 au AKIDDA. Ili kuhakikisha tunakuhudumia vema, moderators wapo tayari kukusikiliza haraka na kukusaidia kubadili jina lako pindi ukitaka kufanya hivyo.

Asante
Kwa huu msimamo hata mimi naunga mkono aslimia mia, jf ni kama maktaba.....

Ndio maana nyuzi za 2006 mpaka leo zinatumika kama rejea, siku mkiuvunja huu utaratibu mjue Jf itakua sehemu ya mizaha na upuuzi mwingi.
 
Yote haya hayahusiani na App, ni mfumo wa JF.

1) Option ya mtu kufuta thread: Ugumu wake ni kuwa kuna watu hucheza na akili za wenzao, mtu amepoteza muda kushiriki kwenye mjadala wako kwa kuleta hoja zilizoshiba then mtu kwakuwa anaona mawazo yamekinzana na matarajio yake anataka afute mjadala kabisa!

2) Ku-edit thread title: Ndo maana tumeweka moderators; tukiacha mtu aweze badili atakavyo title si ajabu ukakuta mjadala wa jana una title tofauti leo na hata kesho title tofauti zaidi.

3) Kuweza kubadili majina: Tuliwahi jaribu hili, matokeo yake watu walianza mizaha ya ajabu. Mtu akiona member anajiita AKIDA anapendwa, yeye ana-edit jina lake anaandika AKIDA2 au AKIDDA. Ili kuhakikisha tunakuhudumia vema, moderators wapo tayari kukusikiliza haraka na kukusaidia kubadili jina lako pindi ukitaka kufanya hivyo.

Asante
Safi sana
 
Me naomba muweke na kitufe cha DISLIKE

Sio kila Comments inastahili Like,
Hiyo binafsi naona kama ni mbaya, itakatisha tamaa na kujenga makundi hasa kwenye jukwaa la siasa.

Maana wakati mwingine like watu wanapeana sio kwa sababu ya mchango bora ila kwa sababu wanamrengo unaoendana.

Kwa hiyo usishangae hata hoja za msingi zikapewa dislike kwa sababu tu mtoa hoja mnapishana itikadi ama misimamo kuhusu mambo mbalimbali.

Hali hii itawakatisha tamaa watu wenye hoja za msingi na hatimaye kubaki na mazwazwa tu yanayopeana like kwa kufurahishana.
 
Yote haya hayahusiani na App, ni mfumo wa JF.

1) Option ya mtu kufuta thread: Ugumu wake ni kuwa kuna watu hucheza na akili za wenzao, mtu amepoteza muda kushiriki kwenye mjadala wako kwa kuleta hoja zilizoshiba then mtu kwakuwa anaona mawazo yamekinzana na matarajio yake anataka afute mjadala kabisa!

2) Ku-edit thread title: Ndo maana tumeweka moderators; tukiacha mtu aweze badili atakavyo title si ajabu ukakuta mjadala wa jana una title tofauti leo na hata kesho title tofauti zaidi.

3) Kuweza kubadili majina: Tuliwahi jaribu hili, matokeo yake watu walianza mizaha ya ajabu. Mtu akiona member anajiita AKIDA anapendwa, yeye ana-edit jina lake anaandika AKIDA2 au AKIDDA. Ili kuhakikisha tunakuhudumia vema, moderators wapo tayari kukusikiliza haraka na kukusaidia kubadili jina lako pindi ukitaka kufanya hivyo.

Asante
Kweli.
 
App ipo poa kabisa, pia ninaomba mufikirie hili swala lakubadilisha ID mngeruhusu ID ibadilishike angalau mara moja kwa miezi mitatu.
Ukiona id Umeichoka iache fungua mpya sio muanze kutuchezea akili.
 
Ni hatua njema ya maboresho ila inaonekana kama ya kwenye "Tapatalk" tu

Muwe na maboresho ya mara kwa mara ambayo wadau wengi wanayasemea kama kuna ulazima wa kufanya hivyo
854f6c3227ec1645fe98b62008121db6.jpg
 
nitaleta maoni yangu badae kidogo nitakapokuwa nimepatia mabadiliko vzr hatua kwa hatua...
ila niwapongeze kwa namana mnavyoziona changamoto na kuwa wa haraka kuzishigulikia...

Mungu aendelee kuwajaza maarifa.
 
Ni hatua njema ya maboresho ila inaonekana kama ya kwenye "Tapatalk" tu

Muwe na maboresho ya mara kwa mara ambayo wadau wengi wanayasemea kama kuna ulazima wa kufanya hivyo
854f6c3227ec1645fe98b62008121db6.jpg
Tayari wameshairejesha Play store?
 
Nimechange handset sasa kila nikiingia playstore kutafuta jf app nashindwa kuipata naomba msaada ni simu yangu au jina la jf app limebadirishwa
 
Maxence Melo pia app hii ya android sio rafiki sana, mf ulikuwa unasoma uzi, kabla hujamaliza sms ikaingia au ukuhamia kwenye app nyingine hata kwa sekunde 30 tu ukirudi jf itaanza kuload upya badala ya kuanzia ulipoishia, kwenye mpya fanyeni maboresho hayo na emoji nzuri kama za jf yazamani
 
Back
Top Bottom