Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
Maxence Melo kuna baadhi ya maswali watu wangeweza jua mfumo wa kwanini JF ipo kama ilivyo sababu umeyajibu kwenye Uzi wa mahojiano yako!..Lakini tatizo ni kwamba huo Uzi upo "Jukwaa la Great Thinker" sizani wote wana access nalo so fanyeni wekeni copy yake "Jukwaa la Malalamiko" ili mtu anayeanza leo aweze pitia jukwaa la malalamiko aone!..
Ps: Naona wick amehappen kuwa screenshot comment yake hapo mjadala wa psychic powers!, siku mojamoja ingia tujadiliane bana!!
Ps: Naona wick amehappen kuwa screenshot comment yake hapo mjadala wa psychic powers!, siku mojamoja ingia tujadiliane bana!!
