JF Android and iOS app - Feb 2018 update

JF Android and iOS app - Feb 2018 update

Mkuu Melo,
Vipi sisi wadau wa windows phone maana najaribu tafuta app ya JF bila mafanikio.
 
Notification zimepotea, tunashindwa kufuatilia mjadala hasa majibizano
 
Wakuu,

Kwa watumiaji wa Android mtakuwa mmeona app yetu tumeiondoa kwenye soko kwa muda.

Inarejea muda si mrefu na tutaomba maoni yenu ili kuboresha.

Kwa watumiaji wa Android, itakuwa na mwonekano huu:

23532b054c7c8f46bacd4752a9414d3b.jpg


Kupata recent posts from all forums, itatokea hivi:

8f56e840c7a71e990079a79b12fff5d8.jpg


Button iliyo mbele ni ya PMs zako na mwishoni ni notifications zako.

Aidha, ukichagua jukwaa (mfano la Siasa), itatokea hivi:

eec5721446345aa885687b18801368e9.jpg


Ukibonyeza button ya kuanzisha thread/topic, options za ku-upload picha/doc zitakuwa kama inavyoonekana chini:

0e8d1959f1a43084dec17443e9ffe853.jpg


Kwa wale wa iOS:

Kwa mbele kabisa katika orodha ya forums itaonekana hivi:

eb6c930199bce23cd35ca1c1166c5dc5.jpg


Kupata recent posts/discussions, itaonekana hivi:

2340f5ab72c889ebb1db5add2afd7aec.jpg


Ukibonyeza pembeni kwenye user menu, itaonekana kama hivi:

e279c6c5936f691260a50bed49024c08.jpg


Mengine hayana tofauti sana na Android.

Mabadiliko haya yatawekwa hewani muda si mrefu na pale ukikwama usisite kuwasiliana nasi
Punguzeni kujifanya wanasheria. Eti mna-burn mtu kama ni hivyo msijitambulishe tena kuwa ni jukwaa huru mliite la ccm
 
Wakuu,

Kwa watumiaji wa Android mtakuwa mmeona app yetu tumeiondoa kwenye soko kwa muda.

Inarejea muda si mrefu na tutaomba maoni yenu ili kuboresha.

Kwa watumiaji wa Android, itakuwa na mwonekano huu:

23532b054c7c8f46bacd4752a9414d3b.jpg


Kupata recent posts from all forums, itatokea hivi:

8f56e840c7a71e990079a79b12fff5d8.jpg


Button iliyo mbele ni ya PMs zako na mwishoni ni notifications zako.

Aidha, ukichagua jukwaa (mfano la Siasa), itatokea hivi:

eec5721446345aa885687b18801368e9.jpg


Ukibonyeza button ya kuanzisha thread/topic, options za ku-upload picha/doc zitakuwa kama inavyoonekana chini:

0e8d1959f1a43084dec17443e9ffe853.jpg


Kwa wale wa iOS:

Kwa mbele kabisa katika orodha ya forums itaonekana hivi:

eb6c930199bce23cd35ca1c1166c5dc5.jpg


Kupata recent posts/discussions, itaonekana hivi:

2340f5ab72c889ebb1db5add2afd7aec.jpg


Ukibonyeza pembeni kwenye user menu, itaonekana kama hivi:

e279c6c5936f691260a50bed49024c08.jpg


Mengine hayana tofauti sana na Android.

Mabadiliko haya yatawekwa hewani muda si mrefu na pale ukikwama usisite kuwasiliana nasi
Kuhusu notification vipi mfano mimi tangu tar14 sipati notification inanisumbua sana
 
Mbona naona kama sasa hivi mtu unapata notification.

LIKE yangu hujaipata kwenye hii post?
Ndo naiona muda huu baada ya kupitia thread nzima kuona kama suluhisho, sio kama zamani, nikifungua notification sioni zile alama nyekundu kuonyesha quotes, post mpya kwenye uzi, likes, mentions etc, ebu cheki hapa chini ninachokiona hakibadiliki kwa wiki kadhaa sasa!
8e47ea5b697bdf3504da9652a561621e.jpg
 
Yote haya hayahusiani na App, ni mfumo wa JF.

1) Option ya mtu kufuta thread: Ugumu wake ni kuwa kuna watu hucheza na akili za wenzao, mtu amepoteza muda kushiriki kwenye mjadala wako kwa kuleta hoja zilizoshiba then mtu kwakuwa anaona mawazo yamekinzana na matarajio yake anataka afute mjadala kabisa!

2) Ku-edit thread title: Ndo maana tumeweka moderators; tukiacha mtu aweze badili atakavyo title si ajabu ukakuta mjadala wa jana una title tofauti leo na hata kesho title tofauti zaidi.

3) Kuweza kubadili majina: Tuliwahi jaribu hili, matokeo yake watu walianza mizaha ya ajabu. Mtu akiona member anajiita AKIDA anapendwa, yeye ana-edit jina lake anaandika AKIDA2 au AKIDDA. Ili kuhakikisha tunakuhudumia vema, moderators wapo tayari kukusikiliza haraka na kukusaidia kubadili jina lako pindi ukitaka kufanya hivyo.

Asante
Maxence Melo
Kuna jambo kwenye hii App mpya sio zuri na linapelekea mtu kujua ID ya mwenzio bila kutarajia au akijua huu mtindo ataweza kuvizia mtu mwenye hii App na kuchunguza ili aijue ID ya muhusika.

Uki log out, User name inabaki bado ipo ambapo ukija kufungua tena App ili ulog in utakuta tayari user name/ID ipo kwenye(remembered) kama inavyoonekana hapa

Pia ukija kwenye sehemu huku ndani endapo hujaifuata ile ya mwanzo hapo juu, ukibonyeza sehemu ya log in kama inavyoonekana hapa

Itatokea username/ID yako kama inavyoonekana hapa

Kwa mfumo huu wa kubakisha ID kama remembered ni hatari kwa watu kudukua/kujua ID ya mtu bila muhusika kujua endapo akifanya haya bila muhusika kujua.

Kumbuka huwa tuna log out ili kutunza privacy zetu vizuri kama kuepuka mtu kujua ID zetu. Sasa kwa kitendo hiki ni hatari sana mtu kujua ID za watu endapo akiona kuna App kwenye simu ya muhusika.

Kam mimi ambaye nimeligundua hili jambo nikitaka kujua ID za watu/marafiki niliokaribu nao nitaweza kwani sio jambo gumu sana.

Naomba mbadilishe na kuhakikisha ID haitaonekana tena pindi tunapo log out halafu tukitaka kulog in ikaonekana tena kama ilivyokuwa kwenye App ya zamani.

Kitendo hichi cha kuonekana ID kama remembered kipo pia kwenye Web ukiwa unatumia PC, kule huwa naifuta baada ya kulog out nikijaribu kubonyeza ili nilog in kikionekana nakifuta laini kwenye hii App mpya nimejaribu kufuta kimekataa kufutika.

Screenshot_2018-02-21-09-39-22.jpg
Screenshot_2018-02-21-09-41-05.jpg
Screenshot_2018-02-21-09-41-34.jpg
 
Back
Top Bottom