naona kipindi cha kuchukua degree zetu kimewadia na mi mwaka huu ndio nachukua yangu so tunao graduate pamoja jitokezeni tuchukue zawadi na hongera zetu
tunasherehekea ukumbi gani sasa
afrodenzi mambo vipi mtu wangu ..muda sanaHongera sana wa ndugu ...
ngoja na mi nikafukue zangu chini ya godoro
nijikumbushie ....
tunasherehekea ukumbi gani sasa