Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,626
- 22,004
Mnamponda bure tu yule bibi FaizaFoxy ila kiukweli kama born town kweli huu mchezo mrahisi sana,nikuondoe hofu wa GSM kuhusika na huu mzigo,mzigo umeingizwa nchini na kampuni tosh logistic na hizo jezi zimekamatiwa kwenye godown la tosh ambayo ni kampuni pinzani na silent ocean logistic ya GSM,watoto wa mjini 😂 kwa mbali tunanusa harufu ya GSM kuwa nyuma ya kusanua hizi jezi fake ili ampoteze mshindani wake kibiashara,mwenye jezi anajulikana na cheni yake ikiwekwa hadharani ni aibu ndio hata waziri mwenyewe anajiuma umaHao ni madon wa nchi wanaokula na kushirikiana pamoja na vigogo wa serikalini.
Mmoja wapo ni GSM huyu ninamashaka naye sana