kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
Nimeinununua moja ya kijani, kitambaa ni bomba sana lakini imeshaniudhi shingoni.
Material waliyoweka kuzunguuka shingo sio laini (soft) kiasi cha kutia karaha kwenye ngozi na mishipa ya singo pale inapogusa sehemu hizo. Kama wangebadilisha kitambaa kinachozunguuka shingo ingekuwa nzuri sana, vinginevyo ile shingo nyembamba inakwangua na kuikaba shingo.
Material waliyoweka kuzunguuka shingo sio laini (soft) kiasi cha kutia karaha kwenye ngozi na mishipa ya singo pale inapogusa sehemu hizo. Kama wangebadilisha kitambaa kinachozunguuka shingo ingekuwa nzuri sana, vinginevyo ile shingo nyembamba inakwangua na kuikaba shingo.