Jeshi nchini Gabon lapindua Serikali ya Ali Bongo

Jeshi nchini Gabon lapindua Serikali ya Ali Bongo

Sifa ya jeshi goigoi utalijua, kupindua mgonjwa. Na hapo utakuta sababu ni nguvu za tunguli ku-expire. Baba na Wanae miaka 51, hizo ni tunguli na wenye utaalamu nazo walisha kufa wote.
 
kuna mtu akisikia taarifa kama hizo presha inapanda na kushuka anatamani ashinde ndani tu.
 
January 7, 2019
Paris, France
Soldiers in Gabon took control of the national radio station in the early hours of Monday and read a short statement announcing the establishment of a “National Restoration Council” in the absence of the country’s ailing president, Ali Bongo.

Source : France 24
 
January 7, 2019
Libreville, Gabon
Gabon coup soldiers arrested, Internet off but Libreville calm.

Reports from Gabon indicate that the officers behind an apparent coup attempt on early Monday morning have been arrested. #Gabon: Minister of communication says mutineers have been arrested by GIGN units (elite tactical units), situation is under contol and order will be restablished in two or three hours. Coup attempt over?

Source: Africanews
 
Hapo Awali kuelekea mwaka mpya 2019

Published on 28 Dec 2018
Rais Ali Bongo akiwa mapumziko ya ugonjwa nchini Morocco akifanya mazungumzo na Mfalme wa Morocco

The Gabonese president Ali Bongo will address his nation during a New Year's speech from Rabat where is recovering, according to AFP which cited close sources to the presidency. According to the news agency, Bongo has instructed his Prime Minister to respond to the expectations of the Gabonese people pending his return. This will be Bongo's first speech since he was hospitalized in Saudia Arabia on October 24 after treatment for what the presidency said was severe fatigue.


Source : afticanews
 
Jeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.

Wanajeshi wenye vifaru na magari ya kivita wanashika doria katika barabara za mji mkuu Libreville.

Amri ya kutotoka nje imetangazwa.

Tangazo kutoka kwa kundi la vijana wa umri wa makamo linatangazwa na kurudiwa katika kituo cha redio cha serikali nchini humo, ambapo wanasema kumekuwepo na wasiwasi kuhusu uwezo wa Rais Ali Bongo kuongoza nchi hiyo.

Wanakosoa pia viongozi wakuu wa jeshi nchini humo.

Bw Bongo amekuwa nje ya nchi hiyo kwa zaidi ya miezi miwili, akipokea matibabu nchini Morocco kutokana na maradhi ambayo hayajafichuliwa baada yake kuugua akiwa ziarani Saudi Arabia.

Familia ya Bongo imetawala taifa hilo kwa miaka 51 iliyopita, na imetuhumiwa kwa kujilimbikizia mali na utajiri mkubwa kutokana na rasilimali za taifa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
All five of the rebels who tried to take charge have now been arrested by the authorities.
The junior officers claimed they seized power "to restore democracy" in oil-rich Gabon, where the ailing leader's family has ruled for 50 years.
Tanks and armoured vehicles could be seen in the capital Libreville.
One of the rebels was on the run for a brief period, before being found hiding under a bed, reports Radio France Internationale.
"The situation is calm. The gendarmes who are often stationed there have taken control of the entire area around the radio and TV headquarters, so everything is back to normal", said Guy-Bertrand Mapangou. a government spokesman.
 
Huu ni mfano wa kuigwa kwa wanajeshi wetu kwa hali ilivyo nchini.
Vipi huo mfano bado ni wa kuigwa wa kikundi cha wahuni kuvamia radio na kutangaza mapinduzi kama si bangi ni nini? ninyi watu mna harakaharaka mkisikia mambo ya kijinga bila kusubiri mnapata hamasa sababu mnachukia rais wenu.

Hilo haliwezi kutokea Tanzania sababu jeshi halina sababu ya kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom