Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

Mimi ningetamani kuona wakitumia hizi tofari walizojengea barabara za mwendo kasi sio hizi za vibiskuit
 
Unaweza kuwa sahihi kwa sababu zako ulizo weka lakini rejea malendo na dhumuni la kuanzishwa kwa jwtz pia nikukumbushe kitu ni kwamba hawajamaa hawafanyi kazi mipakani tu hata ndani ya nchi huimarisha amani pia kwa kushirikiana na polisi au wizara ya mambo ya ndani huo ni mgawanyo wa majukumu tu ndio maana mkuu wa majeshi anatoka jwtz sio polisi pia ktk ushirikiano wao katika utendaji kazi ndio maana majeshi yote yanafanya maonyesho .[HASHTAG]#Amani[/HASHTAG] kwao
Ok asante kwa upishi mzuri wa hoja yako. umenielimisha kiasi chake.
 
mkuu Yale matofali sina uhakika kuwa yanafaa kwa matumizi ya kujengea maana haiwezekani tofali ya sementi ikapigwa nyundo moja ikawa mchanga kihasi kile
Vibiskuti tu zile mkuu. Hebu beba lile walilojengea barabara za mwendokasi uwapelekee wavunje kama hujashitakiwa kwa uchochezi
 
hata km wanatuzidi teknolojia lkn mafunzo ya ukomando magumu yapo vile vile na zaidi.sema kw mm bado nashangaa uimara wa zile tofari.hivi tofari imrpigwa na mvua miaka miwili na ina ratio nzr ya cement.ivunjike vile kwl???pia mbao kwl mbao km mninga upigwe nayo sawa sawa uendelee kucheka hahaha asee
 
Hakuna nchi punguani itakayoweka mbinu zake za kivita hadharani, kumbuka yale ni maonesho tu sio uwanja wa vita, hivyo unakuja na vitu vya kuburudisha, kufurahisha na kuelimisha tu wananchi na kuwaongezea maarifa na si kuja na mbinu zooooote wakati sio uwanja wa vita
 
Wenzetu huwa wanaonyesha technology techniques za kupambana kivita, sie tunakunja nondo na kuvunja matofari ya mchanga, na vimbwa coco vya kukimbiza wanafunzi wakiandamana.
[HASHTAG]#Ngachoka[/HASHTAG] kabisa
 
Sherehe za muungano hazina mvuto kabisa. Ni bora tuwe tunapumzika kama tufanyavyo siku za Nyerere na Karume days. Vinginevyo rais awe analihutubia taifa moja kwa moja toka ikulu. Kama vipi yafanyike makongamano ya kujadili kero za muungano.

Nimekuwa nikifuatilia maonyesho ya mbinu za kijeshi za majeshi yetu kuanzia makomando mpk jeshi la polisi, hakika hazionyeshi kwenda na wakati.
=ktk zama hz za teknolojia ya ndege zisizokuwa na rubani na kurusha makombola ya masafa marefu... Ninyi mnaonyesha kupigana na matofali na vipande vya mbao? Ni lini utakutana na adui umpige na tofali? Labda kama ni mbinu za kuwadhibiti wapinzani hapo sawa.

Mapambano dhidi ya wahalifu au Vita ktk zama hizi yanafanywa kiakili na kiteknolojia zaidi. Mahitaji ya mtu anayeweza kuhimili kupigwa na nondo ama tofali yamepungua sana kama siyo kwisha kabisa.

Wahalifu wengi hawana maguvu ya mwili wala hawatumii nguvu katika kutekeleza mambo yao. Na hata wapiganaji wa zama hz hawatumii tena magumi wala maguvu kubeba matofali. Kuna vifaa vya kiteknolojia vinavyofanya yote haya.

Niombe mtuonyeshe mambo yanayoendana na mabadiliko ya zama. Onyesheni show za kisasa kama zile za Korea kaskazini.


Inaelekea hujui wajibu wa Komandoo katika vita.
Ile haikuwa battle field, ilikuwa ni burudani zaidi.
 
Hivi umeshawahi kujiuliza kwa nini waasi wakikimbizwa ni kukimbilia Kenya,Congo,Rwanda,Sudan na nchi nyingine za Afrika mashariki na kati,na sio Tanzania?

Unajua wanajeshi wetu wanafanya nini huko mipakani kuzuia hilo?... Waulize watu wanaoishi mipakani ndio wanajua mziki wa JWTZ.

Wiki iliyopita zaidi ya wanajeshi 30 wa Tanzania wametunukiwa na UN.Wacongo wanalifagilia jeshi la Tanzania kuliko lao.

Katibu Mkuu wa UN alisema JWTZ ni jeshi lenye nidhamu na weledi wa juu kwenye mapambano kiufupi ni jeshi bora.

Amani unayoiringia kuna watu wanapoteza maisha yao kuilinda... Kuwepo na amani ya mda mrefu kiasi hichi ni ishara tosha jeshi letu liko imara sana.
Good thread
 
maskini una hasira wewe unadhani ni sawa wanajeshi wetu kuanikwa kama maandazi na vistyle vya judo wanavyoonyesha wananchi vinawadharilisha waache utoto yaani vimaonyesho hivyo hivyo vya miaka nenda rudi viachwe mara moja
Unataka waoneshe nin mkuu
 
Back
Top Bottom