Jeshi latanda Mjini Songea

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,365
Reaction score
27,754
Habari wakuu.

Kuna hali ambayo siyo ya kawaida hapa Songea kwani asubuhi ya leo kila kona hapa Mjini na nje ya Mji Wanajeshi wametapakaa mitaani na hakuna taarifa yoyote ya uhakika iliyopatikana, watu wameingiwa hofu hata vyombo vya usafiri ikiwemo bodaboda kama ilivyozoeleka hakuna.


Mji umepoa sana.


Kwa mwenye taarifa zaidi tujuzane waungwana.

mapichapicha


 
Huwa mnasema Nchi haitakalika (MBOWE), sasa hayo manyunyu tu mlishakuwa na hofu ahhahhhah??? Usiogope kijana tuko kwenye mazoezi ya kawaida
 
Endelea kufatilia na kutujuza
 

Nchi hii utaiweza ? Jeshi linachukulia mazoezi mijini wakati vita inapiganwa kwenye miti. Sisi wa Mtwara tumechoka nalo sasa, maana mwaka jana vifaru vilikua vinashinda mjini kuzuia vurugu za wananchi wasiokua hata na visu. yaani mikono mitupu versus vifaru.
 
na wewe anza kuhamasisha watu waokote mawe ili wakilianzisha mawe na risasi vipambane hala usisahau kuleta mrejesho bwana
 
Songea kuna kambi nyingi sana za jeshi la wananchi, mara huko chabruma mara sijui matomondo nk
 
Kuna kumbukumbu ya walio uwawa kwenye maandamano ya Gesi haitoki.. The Big Show ana taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…