Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,132
- 10,514
Taarifa zilizotolewa kuhusu madai ya “mwanajeshi wa Marekani” kukamatwa Tarime zimeibua maswali mazito kuliko majibu. Kutaja jina lisilo la kawaida kama Onkuri Ongeta.
Pamoja na picha zinazomuonyesha mtu huyo akiwa amejipamba kwa pete kama Mganga wa Kienyeji na mavazi yasiyoendana na mafunzo ya kijeshi, koti kuubwa kama Mc Mboneke, haya yanatosha kulifanya jambo hili lionekane kama maigizo yaliyopitiliza.
Zaidi, kutumia mabomu ya machozi ya aina CS M68, ambayo hutumiwa na polisi, si jeshi la Marekani, kunadhoofisha kabisa hoja iliyotolewa.
Tanzania ya leo ina wananchi wanaodai ukweli. Vyombo vya dola vinapaswa kuheshimu umma na kutoa taarifa sahihi bila utani wala propaganda.
Pamoja na picha zinazomuonyesha mtu huyo akiwa amejipamba kwa pete kama Mganga wa Kienyeji na mavazi yasiyoendana na mafunzo ya kijeshi, koti kuubwa kama Mc Mboneke, haya yanatosha kulifanya jambo hili lionekane kama maigizo yaliyopitiliza.
Zaidi, kutumia mabomu ya machozi ya aina CS M68, ambayo hutumiwa na polisi, si jeshi la Marekani, kunadhoofisha kabisa hoja iliyotolewa.
Tanzania ya leo ina wananchi wanaodai ukweli. Vyombo vya dola vinapaswa kuheshimu umma na kutoa taarifa sahihi bila utani wala propaganda.