HOMBOY
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 1,431
- 925
mbona umeambiwa ni watu wasiojulikana mkuumajambazi waliomshambulia lisu bado hawajapatikana mkuu
mbona umeambiwa ni watu wasiojulikana mkuumajambazi waliomshambulia lisu bado hawajapatikana mkuu
Nape na ruge sijui kama walimpa pole lissuMbeleko zitashonwa
Jambazi aliyeongoza shambulio hilo yuko kwenye jumba la chokaa pale ufukweni wa baharimajambazi waliomshambulia lisu bado hawajapatikana mkuu
acha ujinga wewe!Jambazi aliyeongoza shambulio hilo yuko kwenye jumba la chokaa pale ufukweni wa bahari
Ndio nawaambia CCM akili zao na chadema na km mbingu na sio ardhi tuu ila uchuke ndani yake hadi jehanum. Wanamwita D.J ingawa wanadhani ni usi ila hawakosei kiutaalamu, anawabadilishia CD hadi wanakata moto. Lowasa mwenyewe alikiri kuwa alikuwa anamwona Mbowe kwa mbali hakujua kuwa alikuwa fundi wa siasa namna hii.Mbowe ni professional , aliusoma mchezo akaondoka na dereva .
Snipers? Sniper yupi anapiga risasi 32 halafu hola?Aliyeitaka roho ya Lissu atajulikana tu. Wasiwasi wangu ni kuwa wale snipers watapotezwa nao.
Na hivi wameharibu kaziAliyeitaka roho ya Lissu atajulikana tu. Wasiwasi wangu ni kuwa wale snipers watapotezwa nao.
Wakikwetukwetu ndio hao mkuu. Sniper wa ukweli ila Mungu amewakataliaSnipers? Sniper yupi anapiga risasi 32 halafu hola?
Wale ni wapumbavu tu fulani
Duuuh ametisha, maana hawakawii kummaliza derevaMbowe ni professional , aliusoma mchezo akaondoka na dereva .
Yani huyo mwenye miwani na kapero kama sio bashite sijuiHapa nawaza tu,
Lissu akitaja yale majina mazito yanayolindwa
Walikuwa busy kuwasindikiza watendaji wa tukio hadi Moro ambapo kiongozi wa msafara alipata kupumzika hapoFikiria pale Dodoma walikuwa na mawazo gani mpaka hawakumtafuta. Lengo lao lilikuwa halijatimia. Mawazo yalikuwa kumalizia ikashindikana. Mfano kama lisinge wagusa wanzania na kulaani wangemtafuta?
Hili kundi la watu WASIOJULIKANA ni kubwa kuliko alshabab au isis au Boko haramu. Kwahiyo halikamatiki. Hilo jina lenyewe linakutambulisha lilivyomajambazi waliomshambulia lisu bado hawajapatikana mkuu
majambazi waliomshambulia lisu bado hawajapatikana mkuu
Nimefanya kazi za chama na huyu mtu , kwa akili hizi za ccm haitafika siku watamuweza , wataishia kung'oa matembele ya kwenye shamba lake tu .Ndio nawaambia CCM akili zao na chadema na km mbingu na sio ardhi tuu ila uchuke ndani yake hadi jehanum. Wanamwita D.J ingawa wanadhani ni usi ila hawakosei kiutaalamu, anawabadilishia CD hadi wanakata moto. Lowasa mwenyewe alikiri kuwa alikuwa anamwona Mbowe kwa mbali hakujua kuwa alikuwa fundi wa siasa namna hii.
Mmezoea kutafuta sifa kupitia majanga ya wenzenu