Kelvin A. Mtoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2013
- 208
- 187
Mapovu haya hayana tofauti na kipindi kama hiki. Ni kawaida kujitapa kuwa na ushahidi lakini mwishowe ndo kama ilivyowahi kutokea huko nyuma. Rejea Mabomu Arusha na Ufisadi wa EL kuna watu walidai kuwa na ushahidi lkn wapi!
Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha!
Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha!