Jeshi la polisi linasubiri kuumbuliwa?

Jeshi la polisi linasubiri kuumbuliwa?

Ni vyema jeshi la polisi likaachana sasa na propaganda zisizo na maana. Walitaka kumalizana na dereva wa Tundu Lissu wamewahiwa.

Nawasihi wautumie muda huu mfupi vizuri kuachana na ulaghai la sivyo watu wakitoka Nairobi jeshi hili tulilokosa nalo imani litaumbuka vibaya! Waache kujiumauma na watende haki. Wasiendelee kulimbikiza vinyongo ambavyo siku ikifika watu watavitapika waziwazi na hapo hakutakuwa tena na subira!

Mimi nawakumbusha tu kuwa bado muda wa kujisahihisha wanao kwa kuamua kuhusu hili sakata la Tundu Lissu!
Kwanini mnajishau kama mna A-Z si wekeni ukweli wazi ili na wenzenu waelewe kuliko mnavyojizungusha kama vile mnajitongozesha ...hizi ngonjera zenu pelekeni Basata wawasajiri
 
Ni vyema jeshi la polisi likaachana sasa na propaganda zisizo na maana. Walitaka kumalizana na dereva wa Tundu Lissu wamewahiwa.

Nawasihi wautumie muda huu mfupi vizuri kuachana na ulaghai la sivyo watu wakitoka Nairobi jeshi hili tulilokosa nalo imani litaumbuka vibaya! Waache kujiumauma na watende haki. Wasiendelee kulimbikiza vinyongo ambavyo siku ikifika watu watavitapika waziwazi na hapo hakutakuwa tena na subira!

Mimi nawakumbusha tu kuwa bado muda wa kujisahihisha wanao kwa kuamua kuhusu hili sakata la Tundu Lissu!
Loh!
Masikini Chacha Wangwe!
Mtasingizia serikali lkn wapi
Mbowe huu mchezo ni mzoefu
 
Back
Top Bottom