Jamani kwa nini tusiichome clouds ifutikie mbali
jeshi la police limetoa onyo kwa vikundi ambavyo vinapanga kufanya fujo na maandamano kwani imesemekana kuna watu wanatoa fedha kuwapa watu ili wakusanyike kufanya vikao visivo rasmi na maandamano ya kuchochea vurugu, pia jeshi la police linaendelea kufanya upelelezi kumsaka mtu anayefanya kazi ya kulipa na kuandaa mikusanyiko hii. JESHI IMEPELEKA TANGAZO HILI CLOUDS FM NA LIMETANGAZWA KTK KIPINDI CHA LEO TENA NA DINA MARIOS. mh hofu sasa imetanda sijui itakuaje
Haturudi nyuma, na kama noma na iwe noma. Tunahitaji haki itendeke. Kila mtu anajua linaloendelea hata EU wameona ndo maana wakasema inabidi tukubali matokeo ili kudumisha amani. kitu ambacho binafsi ambacho kina gharama kubwa zaidi kuliko tukiwapelekea salamu kwa mwendo tofauti.