rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,191
- 20,161
afadhali ametokea kiongozi mmoja kuwatahadharisha wananchi badala ya mwehu anayetangaza bila kutumia akili watu wakusanyike, China kwenyewe walipofikiri wameushinda ugonjwa maambukizi yameanza tena