wana CCM wenye mawazo kama yako mtapata ugonjwa wa moyo na msongo wa mawazo chama chenu kitakapo ondolewa madarakani,ambayo itakua tiketi ya kifo cha CCM. wengi wa wanachama na viongozi watakimbia,na wataikana CCM mchana kweupe!CCM haiwezi kuporomoka kamwe. Ni chama pekee hapa Tanzania chenye resources za kutosha kuanzia human as well as capital/financial.
CCM ina watu makini na ambao hawayumbishwi ovyo. Ndio maana umeona mpakaa maamuzi yoyote yachukuliwe, ni lazima tafakuri ya kina ya jambo husika ifanywe.
CCM kamwe haiwezi kuporomoka wa kelele za wapinzani, CCM cha kuiangusha labda kuwepo conflict within the part. So far ndani ya CCM hali ni shwari.