Jeshi la polisi kumkamata Dr. Slaa

Jeshi la polisi kumkamata Dr. Slaa

Naona kama vile watu wanasahau kila nafasi unayopewa na umma ni dhamana. Angalia Libya kilichotokea. Tusipende kuweka petroli karibu na moto, ikae mbali sana.

Ushauri wa bure. M4C sio ya kuchezea katika kipindi hiki.

Walinzi wa amani jamani.
 
HII NI MBINU NA MKAKATIWA kudhoofisha nguvu ya umma, na kuchelewesha mikutano ya M4C!
SEEENZI KAABISAA!
 
Practically ukiitoa CDM jeshi la Polisi litakuwa surplus to requirements. Liko active kuwazuia CHADEMA, kuwaonea raia wema lakini pia kutetea na kulinda wabadhirifu na wahalifu - CCM.

CDM haitalipiza kisasi, lakini hakika itabadili muundo na maudhui ya PT ikiingia madarakani
 
Kweli TANZANIA imetekwa na mafisadi yaani wezi wote waliotajwa na CAG, hawaguswi lakini mtetezi wa wanyonge anatishwa! Polis waanze kwanza kumkamata kwanza samuel sitta aliyesema kwamba mwakyembe amelishwa sumu, je huu c uchochez? Polis hawa wa kifisadi hawatendi haki!
 
Ingekuwa uwezo wangu ningelifuta jeshi la polisi nchi, kwani hao ndy wanao wafuga majambzi wote wa nchi wakiwemo mafisadi. Dr slaa inaelekea ikiwakumbusha majukumu yao wadai ni mchochezi. pumbavu hawa mbwa wa baba liz1
 
Ni kwa kutoa kauli za uchochezi katika mikutano ya hadhara Mwanza na geita. Polisi wanasema alitoa vitisho kwa serikali kwa kuipa serikali siku 3 iwatibu wabunge wa chadema walioshambuliwa na kulipa jeshi la polisi siku 7 likamilishe uchunguzi kwa sakata hili. Kauli hiyo inasemwa ni kinyume na sheria.

source: Star tv news

Mkamateni tupime nguvu za umma. Ni kama kupima nguvu ya sumu ya panya kwa kuonja kachupa kamoja.
 
Polis wa tanzania kufanya kazi kwa ushabiki pasipo uzalendo ni hatari kwa taifa letu! Watanzania wote tuungane kuupinga huu upotoshaji unaofanywa na jeshi la polis na mafisadi!
 
hivi cdm ikichukua nchi 2015 hawa makamanda wa polisi ambao wamekua wanawakamata viongozi wa cdm watakimbilia wapi?
 
Practically ukiitoa CDM jeshi la Polisi litakuwa surplus to requirements. Liko active kuwazuia CHADEMA, kuwaonea raia wema lakini pia kutetea na kulinda wabadhirifu na wahalifu - CCM. CDM haitalipiza kisasi, lakini hakika itabadili muundo na maudhui ya PT ikiingia madarakani


Sidhani kuna mtu anasema watanzania hawataki kuwa na jeshi la polisi.
Watanzania wanachosema ni kwamba tunataka jeshi la polisi lenye akili
badala ya kundi la vilaza wakifanya kazi kwa ramli, rushwa
na sifa za kufosifosi! akipewa kazi ya desk makao makuu ataenda mpaka
bagamoyo kuroga watu wa pesonel.
atapata wapi rushwa kwenye desk makao makuu?

Jeshi la polisi tanzania limechangia sana kuifanya ccm ichafuke na kunuka kama c.....o!
wanayo akili kuliona hilo basi?
 
Wanadai alitoa matamshi kuwa polisi watoe tamko ndani ya siku tatu kuhusu kukatwa mapanga wabunge wa CHADEMA wao wametafsiri kama uchochezi na wanasema Dr. Slaa katoweka Mwanza kinyemela.

Walitaka awapigie filimbi ili wamsindikize kwa ving'ola kama JKM?
 
Wameshindwa machangudoa watamuweza Dr wa ukweli? wao kwanza pia ni chadema siku hizi (kasoro IGP na RPCs)
 
Wanajidanganya hao watu!


Siasa za mabavu kama mchezo wa kombolela vile......Kamata Dr Slaa haraka apate nafasi kubutua kuwakomboa waTz!

Kama chura vile unajidanganya kumpiga buti kumbe wamuongezea kasi ya kuruka!!!!!!!!!!!!!
 
Chenye akili kivyako ni kumwacha aendelee na uchochezi wa uvunjifu wa amani?
Kama kijasho tayari kilishakutoka, kama kamasi tayari ushafuta sana, sasa naona nguvu ya CDM itakumwaga kinyesi kabisa mwaka huu haki ya nani!
 
Kauli za Uchochezi kwa Serikali ni Hatari =UHAINI; kutoa VITISHO na ultimatum kwa JESHI la POLISI ni tendo la DHARAU kwa AMIRI JESHI MKUU
 
Back
Top Bottom