Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza ametoa amri kwa dr.slaa kujisalimisha mwenyewe kituo cha polisi ili kutoa maelezo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni uchochezi kwani alitoa siku saba kwa jeshi la polisi kuwatia hatiani wale wote waliohusika kuwacharanga mapanga wabunge wa CHADEMA.Anasema wameshindwa kumtia Dr.Slaa nguvuni kwani aliondoka Mwanza kinyemela hapo juzi kuelekea Dar.source star tv.
Wanasubir nini? Kwnini wacmkamate kwanza ndo watangazie umma? Wanaomba public sympathy or what? They are like a donkey lived for 30 years whch hopes to be a horse one day!
orodha ya taasisi zinazohatarisha usalama wa taifa(LIST OF DEMONS)
1.CCM
2.POLISI
3."USALAMA WA TAIFA"
4. PCCB
5.MAHAKAMA
6.JWTZ
7.TBC