Mudhamil
Senior Member
- Nov 12, 2017
- 159
- 89
Kinondoni moja hiyo mambo yameiva....
Kila la kheri M/Mungu awatangulieKinondoni moja hiyo mambo yameiva....
Kinondoni moja hiyo mambo yameiva....
Kila la kheri M/Mungu awatangulieKinondoni moja hiyo mambo yameiva....
Mapema hii washafikaKinondoni moja hiyo mambo yameiva....
Watu hawajalala...kabisa...kuna watu wengi sanaMapema hii washafika
Mi bado hadi nishibe ndo ntaendaWatu hawajalala...kabisa...kuna watu wengi sana
Kula vitu vikavu vyenye kufunga mwili....kunywa maji mengi...ondoa hofu..hope tutakutana getini kambini...Mi bado hadi nishibe ndo ntaenda
HahahahahahaKula vitu vikavu vyenye kufunga mwili....kunywa maji mengi...ondoa hofu..hope tutakutana getini kambini...
Naona wilaya zote unatembeleaKula vitu vikavu vyenye kufunga mwili....kunywa maji mengi...ondoa hofu..hope tutakutana getini kambini...
Mimi nipo wilaya 2...jumatano nitakuwa temeke...Naona wilaya zote unatembelea
Leo upo ilala?? Kinondoni umefata nnMimi nipo wilaya 2...jumatano nitakuwa temeke...
Pale sio kinondoni ni ilala...kinondoni sijajaLeo upo ilala?? Kinondoni umefata nn
Ilala leo tupo kwenye usaili...mwisho wa kupeleka maombi ilikuwa janaNaomba kuuliza hivi ilala mwisho lini kutuma maombi.. Na usaili ni lin?
Poa asante kumbe nshachelewaaIlala leo tupo kwenye usaili...mwisho wa kupeleka maombi ilikuwa jana
Usaili umeshaanza??Ilala leo tupo kwenye usaili...mwisho wa kupeleka maombi ilikuwa jana
Hujachelewa nenda ata temeke...ila itakuchukua muda mrefu hadi kuzipata ofisi za wenyevitiPoa asante kumbe nshachelewaa
Muda ndio unakaribia karibiaUsaili umeshaanza??
Sawa nitajaribu temekeHujachelewa nenda ata temeke...ila itakuchukua muda mrefu hadi kuzipata ofisi za wenyeviti
Wahi ndugu yangu unaweza ukabahatika...kuwa mjanja tafuta namba ya nyumba ukifika unaitaja usipo jua namba ya nyumba itakusumbuaSawa nitajaribu temeke
40Profesa je?