CHELSEA SIMBA 7
Member
- Oct 27, 2017
- 57
- 84
Tangazo lina tatizo gani mkuuzoezi hili la kuwapata vijana awamu hii limegubikwa na mapungufu mengi sana kuanzia tangazo lenyewe sijui aliyeliandika alikuwa katika hali gani
Tangazo lina tatizo gani mkuuzoezi hili la kuwapata vijana awamu hii limegubikwa na mapungufu mengi sana kuanzia tangazo lenyewe sijui aliyeliandika alikuwa katika hali gani
Tangazo lina tatizo gani mkuu
You have logic bro. Lakin labda nao walitakiwa kutuambia kwann wamelimit hivyo
- how do you rank a diploma student and bachelor degree to have the same age?
- utachukuaje mtoto wa miaka 16 kwenda jkt kupigishwa kazi wakati hata sheria ya kazi hairuhusu under 18 kufanyishwa kazi
- age limit kwa degree holder kuwa 25 huo ni uongo may be walitaka waliokulia mjini wakawahi kuanza shule sisi kule vijijini humshangai mtu yuko la kwanza ana miaka 15 hapo sijaongelea miundombinu ya elimu vijijini siyo mizuri hapa unakuta mtu karudia darasa au kidato sasa huyo atamaliza degree na umri tajwa ndugu emb jaribu kunijibu basi
- umri wa miaka 26+ una uhusiano gani na kulitumikia taifa katika vyombo vya usalama?
haya ni baadhi tu
Mambo hayaelewek broWazee hii nafasi bado ni valid hata leo tarehhe 27 Nov.2017?
Duuu acha tuuMambo hayaelewek bro
Hii week ya mwisho kwahyo mbivu na mbich zitajulikana tuDuuu acha tuu
Utatupa mrejesho wanapima magonjwa ganikesho vpimo vya mwisho kwa mkoa wa lindi, naomba sana mungu awe pamoja nami, nawasilisha
kuna dogo kapiga mgambo na katemwa vilevileIvi ni kweli wanaopitia mafunzo ya mgambo hupata nafasi kujiunga na jeshi?
Wanapima nini haswakesho vpimo vya mwisho kwa mkoa wa lindi, naomba sana mungu awe pamoja nami, nawasilisha
Highness ww s ulishapima??? Vipimo s vile vile tu au kuna tofauti pia hukunipa mrejesho baada ya kupimwa mwiliWanapima nini haswa
Kumbe siku hizi mapadri mnaswali hadi swala tano!Tatizo jeshini hakuna muda wa kuswali swala tano za fardhi...
Siwezi kuacha kumuabudu Mola wangu nikajambishwe na vikoplo nyang'au.
Tulipimwa ngazi ya wilaya, mkoa bado hadi leoHighness ww s ulishapima??? Vipimo s vile vile tu au kuna tofauti pia hukunipa mrejesho baada ya kupimwa mwili
Sala ya asubuh, SAA sita kamili, SAA Tisa alasiri, SAA 12 na ya usiku, sala ngapi hizo????Kumbe siku hizi mapadri mnaswali hadi swala tano!
DuhTulipimwa ngazi ya wilaya, mkoa bado hadi leo
Yaaan hata hawaeleweki hapa tumeambiwa turudi alhamis
degree haiwezi kuwa maximum 23 yrs
Kama mlipima mshamaliza hapoYaaan hata hawaeleweki hapa tumeambiwa turudi alhamis