Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,470
- 4,557
Kawaida Sana jeshini hii.Na mfiraji naye unamkagua vipi?
Unaangalia kama mboro ina mavi?
Jeshi la wahuni hili. Mambo gani haya ya kupekuana mikundu!
Kawaida Sana jeshini hii.Na mfiraji naye unamkagua vipi?
Unaangalia kama mboro ina mavi?
Jeshi la wahuni hili. Mambo gani haya ya kupekuana mikundu!
Yeah,usibanwe shuzi wakati wa usaili,maana inama,kohoa..umejamba,wenzako wanakuhesabu unaliwa,wanapiga tochi,wanapagusagusaDuh. Kumbe ndo inavyokuwa?
Najiuliza hivi hawakujua kwamba watapimwa?Kijana unakimbia huku unakata mauno..seriously?
Ukute nimejamba kwa kuvimbiwa tu jamani? Na wanawake wanapimwa?Yeah,usibanwe shuzi wakati wa usaili,maana inama,kohoa..umejamba,wenzako wanakuhesabu unaliwa,wanapiga tochi,wanapagusagusa
UbarikiweUshoga ni roho ya shetani, ni moja ya uovu ulioiangamiza sodoma na gomora, ole wa kizazi hiki, maana hukumu ipo karibu,
Warumi 1:23
wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo.
Warumi 1:24
Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao.
Warumi 1:25
Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina.
Warumi 1:26
Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
Warumi 1:27
wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
Warumi 1:28
Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
Warumi 1:29
Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya,
Warumi 1:30
wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao,
Warumi 1:31
wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;
Warumi 1:32
ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.
Wanawake hawapimwi ni wanaume,na wapimaji wengi wanawakeUkute nimejamba kwa kuvimbiwa tu jamani? Na wanawake wanapimwa?
Kuna uwezekano mkubwa baadhi yao wamehukumiwa kimakosa kutokana na ulemavu au shida zao za kuzaliwa nazo.Vijana 8 kati ya 30 inamaana karibia 27% ikimaanisha kwenye wanaume 100, 27 ni mashoga. Tuombe sana isee Hali ni mbaya .
Kwenye zile data za sensa tutoe 27% ya mashoga ndio tupate idada ya wanaume Tanzania.
Kohoa Ni Kama una erekti bana Ile huwa unafunua kitabu kabisa unachekiwa na mdada mmoja mzuri mweupe kabisa matata na anakuwepo mwanaume. Na Ile ya uvungu wa unyayo wanakucheki tuInama halafu kohoa "Kohoooo"
Pakitanuka tu dogo Rudi kwenu jeshi linataka marijali wakakamavu.
Watawajuaje?Wapiga mipini nao waondolewe maana wamewapoteza hao watawaharibu na wengine maana tatizo hilo linahusu pande zote
Kama walikuwa na ugonjwa wa bawasiri na wewe umewaita mashoga,ninaomba Mungu akupige hadi siku moja urudi hapa na kwenye media zote kuomba radhi.Mkuu wa wilaya ya Iramba Selemani Mwenda amesema vijana hao nane kati ya thelathini waliyokosa sifa ya kujiunga na mafunzo ya JKT ni kutokana na vipimo kubaini kwamba wanajihusisha na vitendo vya ushoga.
Kijana mmoja alioneka akikimbia kwa kukata viuno na jinsi alivyokuwa akiweka mikono na vidole vyake ikaweka hali ya kutiliwa mashaka kuwa huenda anajihusisha na vitendo vya ushoga, alisema Kamanda Kanali wa JKT.
View attachment 2410072
Okeee😅Wanawake hawapimwi ni wanaume,na wapimaji wengi wanawake
Wewe nawe nishoga! Bawasili haihusianiSitetei ushoga ila hii nchi ina watu wenye imani za hovyohovyo sana.
Mwanasiasa anajiona na yeye ni daktari.
Kuna wengine masikini wana matatizo ya bawasiri, ikitokea kwenye ukaguzi kama huo iwe ni jeshini au jela na yeye moja kwa moja anaingizwa kwenye hilo fungu la mashoga.
Na mimi nimeshangaa! Yaani mwanaume akikimbia kwa kukata mauno tayari ni shoga!Na kwanini unampima mtu ushoga kwa kumuangalia muonekano wake?
Wengine wanazaliwa wakiwa na miili dhaifu, kwanini uwatusi na kuwadhalilisha kwamba wanafirwa?
Kama miili yao dhaifu na hawana vigezo vya jeshi, basi waondolewe kwa staha sio kuwatusi.
Huyu afande nikimpima saikolojia yake ya maneno anaonekana ni shoga. Ana sensitivity kubwa sana ya kujihami hami.
Insecurities much?
Afande chizi huyo.Na mimi nimeshangaa! Yaani mwanaume akikimbia kwa kukata mauno tayari ni shoga!
Si nasikia kuna wanaume mabaunsa lakini ni mashoga!
Kwani ushoga ni tabia au ni mwonekano?
Kuingiziana vidole mkunduni?Kawaida Sana jeshini hii.
Wanakaguliwa Kama wapo timamu.Kuingiziana vidole mkunduni?
Hatukuonei wivu mkuu ni habari tuuNchi ya mataahira hii , sasa hii nayo ni mada na wapumbavu wanapoteza muda huku kujadili huu ujinga eti ,aisee
Tz ina vitu vya muhimu ambavyo vinaweza kujadiliwa kwa mustakabali wa nchi ,si kukaa mnajadili makalio na njia za haja kubwa ,au na nyie mnataka mshikishwe ukuta ? Maana inaonekana mnawaonea wivu hao mashoga
Timamu ndo nini?Wanakaguliwa Kama wapo timamu.
Kama anus imepanuka kwaheri.😂😂😂Timamu ndo nini?
"Vipimo vimeonesha" inamaana walipigwa tochi.Ukiambiaji tu au? Maana Raheem Sterling nae ana ukimbiaji wake amaizing sana.