kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,675
Salaam!!
Naomba kujulishwa kama kuna ulazima wowote wa form 6 waliomaliza mwaka huu kwenda jeshini kama walivyopangiwa. Je, ni lazima sana au mwanafunzi anaweza kuamua kutokwenda?? Na kama asipoenda huko jeshini, je atapata effect gani kutokana na hilo??
Ahsanteni
Naomba kujulishwa kama kuna ulazima wowote wa form 6 waliomaliza mwaka huu kwenda jeshini kama walivyopangiwa. Je, ni lazima sana au mwanafunzi anaweza kuamua kutokwenda?? Na kama asipoenda huko jeshini, je atapata effect gani kutokana na hilo??
Ahsanteni