Jesca Magufuli ni mtu ambaye analazimisha Mfumo umbembe wakati hana uwezo wa kiuongozi, CCM stay alert!

Jesca Magufuli ni mtu ambaye analazimisha Mfumo umbembe wakati hana uwezo wa kiuongozi, CCM stay alert!

I was wondering kama wewe. Ametumia hela kumsafirisha Ayo kwenda kumhoji ili apate kick angalau nae ajadiliwe kama hivi maana hana pakujadiliwa. Kwani estate ya mzee wake haimtoshi ajikite kwenye business? Mshua si alikuwa na ranch, hotels na apartments?
 
To be honest Jesca Magufuli ,she is not smart and visionary.

Hakuna kitu kibaya Kama hawa watoto wa viongozi Kuamini kuwa they deserves kuwa viongozi wao tu.

Wananchi wa Chato mpigeni chini huyo Jesca Magufuli.


Mirrad ayo unatumika vibaya.
Kafanyaje, kaonesha nia ya mapema?

Kupiga ngebe za namna hii bila kueleza mhusika ndiye nani na namna ambavyo anautaka uongozi na kukosa kwake sifa, yanakuwa ni majungu kama yalivyo majungu mengine ya kwenye vijiwe vya kahawa, ama ni kampeni chafu za kuchafuana.
 
I was wondering kama wewe. Ametumia hela kumsafirisha Ayo kwenda kumhoji ili apate kick angalau nae ajadiliwe kama hivi maana hana pakujadiliwa. Kwani estate ya mzee wake haimtoshi ajikite kwenye business? Mshua si alikuwa na ranch, hotels na apartments?
Kwan n mara ngapi jamaa anasafiri kwenda kuhoji watu? Kwahy zote hizo hua analipwa?
Kwan kipindi cha baba ake amejadiliwa mara ngapi?
 
I was wondering kama wewe. Ametumia hela kumsafirisha Ayo kwenda kumhoji ili apate kick angalau nae ajadiliwe kama hivi maana hana pakujadiliwa. Kwani estate ya mzee wake haimtoshi ajikite kwenye business? Mshua si alikuwa na ranch, hotels na apartments?
True , kwann asifanye Biashara , au wanaamini kuwa wao walizaliwa kutawala hii nchi hata Kama wana uwezo wa kawaida Sana .

Hii nchi inasikitisha Sana watu wansichukulia Kama familia yao.
 
True , kwann asifanye Biashara , au wanaamini kuwa wao walizaliwa kutawala hii nchi hata Kama wana uwezo wa kawaida Sana .

Hii nchi inasikitisha Sana watu wansichukulia Kama familia yao.
Kwanza mavyeo ya nini kushiriki kuumiza raia wakati una hela? Angalau angekuwa mtoto wa mama muuza kongoro unaweza kumwelewa anataka angalau familia iinuke kwa teuzi na wizi. Sasa huyo anahangaikia nini?
 
Back
Top Bottom