TASLIMA
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,042
- 3,629
Yule ni kada BwasheeBwashee kumuita Hamza " shujaa' ni kukosa uzalendo!
Yule ni kada BwasheeBwashee kumuita Hamza " shujaa' ni kukosa uzalendo!
Jerry Silaa ambaye ni mheshimiwa mbunge wa ukonga kwa tiketi ya CCM, leo saa 4 asubuhi anatazamiwa kuletwa mbele ya Tume ya maadili ya bunge akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Aidha, mashtaka ya Jerry Silaa sasa yatakuwa matatu
1. Kusema uongo
2. Kuvunja heshima ya Bunge
3. Kudharau wito wa Kamati ya Kaki, Maadili na Madaraka ya Bunge
Ngoja tuone.
Updates;
Safari hii Ndugai amekosa wapinzani wa kukamata amenza kukamata watu wakeJerry Silaa ambaye ni mheshimiwa mbunge wa ukonga kwa tiketi ya CCM, leo saa 4 asubuhi anatazamiwa kuletwa mbele ya Tume ya maadili ya bunge akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Aidha, mashtaka ya Jerry Silaa sasa yatakuwa matatu
1. Kusema uongo
2. Kuvunja heshima ya Bunge
3. Kudharau wito wa Kamati ya Kaki, Maadili na Madaraka ya Bunge
Ngoja tuone.
Updates;
Wakimalizana na sisi wataanza na nyinyi.
Kama ulichagua CCM basi hizi tozo zinakuhusuJerry Slaa tangu alipopata kura yangu kati ya nyingi nyingine alizopata kupitia ushawishi wa JPM hajaonekana huku jimboni kwake ambapo kuna kero nyingi tu tena za miaka mingi.
Kama ataadhibiwa na Spika kwa kutoa siri kuwa wabunge hawalipi kodi na yeye kama sisi anaamini kuwa kwenye mapato ya mbunge, kodi hata kama wanalipa ni kidogo, ukilinganisha na mwananchi anavyokamuliwa, ni bora ajiuzulu tu hiyo nafasi awaachie wale wasioona taabu kuwa wanafiki.
Jimbo hili hata hivyo halikuwahi kuwa na mbunge. Ni uchochoro tu wa Watu kujinufisha.
Maneno ya Nabii LissuWakimalizana na sisi wataanza na nyinyi.
Anayewashitaki ndiye mtoa hukumu maajabu ya filauni.Huwa wanaenda kama mashahidi na siyo watuhumiwa ndio maana hawaruhusiwi kuwa na mawakili.
Spika ndio anawashtaki na wao huenda kutoa ushahidi wao kwenye kamati kisha ripoti hupelekwa kwa Spika ambaye hutoa maamuzi ya mwisho.
typoKamati ya Kaki, Maadili ...
Yani unaambiwa wametenda makosa ikiwemo kushusha hadhi ya Bunge, wewe unasema wanaenda kama mashahidi!Huwa wanaenda kama mashahidi na siyo watuhumiwa ndio maana hawaruhusiwi kuwa na mawakili.
Spika ndio anawashtaki na wao huenda kutoa ushahidi wao kwenye kamati kisha ripoti hupelekwa kwa Spika ambaye hutoa maamuzi ya mwisho.
Anaweza kuwa shujaa au asiwe shujaa. Pamoja na sababu tulizozisikia tujipe muda tupate majibu sahihi zaidi.Bwashee kumuita Hamza " shujaa' ni kukosa uzalendo!
Hata katika maisha yetu ukiona watoto wanamfukuza mwenzao wa kambo asile ugali wakishamtoa wanaanza kugombania wao ugali ili ambake mwenye nguvu aendelee kula. Kwanza naona mama lile lemba analovaa anajichosha tu maana mambo anavyoyapeleka bora sheikh anayekula guruwe tu maana ukishakua CCM utu unatoka unabaki unafiki, husuda,wizi na dhulumaWakimalizana na sisi wataanza na nyinyi.
✌🏾Maneno ya Nabii Lissu
Kuhojiwa na Kamati hakuhitaji kwenda na mwanasheria, kwasababu hii sio mahakama ni just a quasi judicial body na ilipaswa kuishia kwa wabunge tuu. Hii ya Bunge kuwahoji watu nje ya Bunge kama mimi nilivyo itwa ni kinyume cha justice system yetu!.Nafikiri hiyo ni haki yake pia.
Hivi hawa watu huwa hawaruhudiwi kwenda na lawyers wao kwenye issue kama hizi? cc Pascal Mayalla
Bahati mbaya hatuna bunge tuna kusanyiko la waharifuKuhojiwa na Kamati hakuhitaji kwenda na mwanasheria, kwasababu hii sio mahakama ni just a quasi judicial body na ilipaswa kuishia kwa wabunge tuu. Hii ya Bunge kuwahoji watu nje ya Bunge kama mimi nilivyo itwa ni kinyume cha justice system yetu!.
Bunge limejiinua mno hadi masikio kutaka kushinda kichwa!.
P
Kweli anadhalilisha dini bureHata katika maisha yetu ukiona watoto wanamfukuza mwenzao wa kambo asile ugali wakishamtoa wanaanza kugombania wao ugali ili ambake mwenye nguvu aendelee kula. Kwanza naona mama lile lemba analovaa anajichosha tu maana mambo anavyoyapeleka bora sheikh anayekula guruwe tu maana ukishakua CCM utu unatoka unabaki unafiki, husuda,wizi na dhuluma
Na aibu tupu
Tozo sio tatizo kwangu na sio jambo geni kwa kuwa mimi ni mlipakodi mzuri miaka yote.Kama ulichagua CCM basi hizi tozo zinakuhusu
Spika anatoa lini maamuzi dhidi ya Pascal Mayalla ?Huwa wanaenda kama mashahidi na siyo watuhumiwa ndio maana hawaruhusiwi kuwa na mawakili.
Spika ndio anawashtaki na wao huenda kutoa ushahidi wao kwenye kamati kisha ripoti hupelekwa kwa Spika ambaye hutoa maamuzi ya mwisho.
Tulia CCM ikukamue vizuriTozo sio tatizo kwangu na sio jambo geni kwa kuwa mimi ni mlipakodi mzuri miaka yote.