babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,932
- 20,224
Ujinga ujinga tu iliUnapokuwa na watawala wapumbavu kama hawa maendeleo ni ndoto, huyu naye tunategemea atashauri kitu cha maana
Wabebwe bebwe.
Ujinga ujinga tu iliUnapokuwa na watawala wapumbavu kama hawa maendeleo ni ndoto, huyu naye tunategemea atashauri kitu cha maana
Rushwa na ushirikina vinaitesa sn nchi yetuUjinga ujinga tu ili
Wabebwe bebwe.
Ila kweli , naona mradi uliopo ni wa kumsemea Mama, utazani yeye ni bubuInaelekea au tayari ipo shimoni, mradi gani sahivi unaendelea wa maana zaidi ya mradi wa chawa?
Hapo unapeleka proposal haizna na fedha inatoka wiki hiyo hiyo hakuna kuzungushwa, pelekea proposal kuwa unataka kusaidia kuelimisha watoto wa wafungaji wanao hama hama utaambiwa hatuna fungu mpk budget ijayoIla kweli , naona mradi uliopo ni wa kumsemea Mama, utazani yeye ni bubu
Ndo shida ya kuongozwa na chama kilichofeli kabisaHapo unapeleka proposal haizna na fedha inatoka wiki hiyo hiyo hakuna kuzungushwa, pelekea proposal kuwa unataka kusaidia kuelimisha watoto wa wafungaji wanao hama hama utaambiwa hatuna fungu mpk budget ijayo
Hopeless kabisaNdo shida ya kuongozwa na chama kilichofeli kabisa
MkuuHopeless kabisa
SureHakika
Mkuu
Iko shimoni tayari machàwa wamekuwa kama mataahira kabisa, wamejitoa ufahamu wote!Inaelekea au tayari ipo shimoni, mradi gani sahivi unaendelea wa maana zaidi ya mradi wa chawa?
Kwa sieji ni mwanasiasaWaziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema
"Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na kufikisha bungeni. Ni suala la katiba. Ambalo pengine Serikali ingeona kuna tatizo kubwa ingetafuta njia yoyote ya kuweza kuitafutia sababu... Lakini Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya hivyo kwa miaka yote Minne akiwa kwenye uongozi wake"
Aibu tupuIko shimoni tayari machàwa wamekuwa kama mataahira kabisa, wamejitoa ufahamu wote!