Jerry Muro: Tundu Lissu njoo uone

Mbona inasemekana hilo jina siyo lake? Yasemekana huyo asili yake ni ile kanda yetu pendwa anakotoka Yohana mbatizaji.
Inawezekana mkuu ile kanda haiwez kuwa kilaza kama huyu.
Mwanamme mwenye tabia za kike kule hakunaga ukimkuta ujue huyu mlowez.
 
Huyu jamaa vipi? Yanga ilikushinda siasa ndiyo kabisaa, acha wanaojua siasa wafanye siasa, tafuta kazi nyingine. Usitake kuibukia kwenye migongo ya wengine, wewe na Lissu wapi na wapi kuruta wa danger coy.
Kuruta anafosi nae apande kidogo. .
 
Jamaa kaaibika sana, kaamua kunya stand usiku huku akijua hakuna umeme tuu ila watu wapo wengi.Sasa umeme umerudi ndio anajiona alivyo na nini maana ya watu kumwona ktk hicho kitendo.Huyu ndie anashidnana na Lissu. Sasa bariki wameamua kuondoa hio nia njema.
 
Tatizo nchi hii watu wengi ni waj..nga sana
Kwa kukadilia yaweza kuwa 98.6% ya Watanzania ni wajinga sana kuliko kawaida,,. Unapewa taarifa ya kuwa utalipwa Tsh.700,000,000,000 wakati ulikuwa unadai Tsh.425,000,000,000,000 kisha unashangilia kuwa umeshinda????,,

Ushauri,, Watu wafundishwe kutofautisha kati ya MILLION na BILLION, BILLION na TRILLION, na pia
Ujinga ni pale unapopata hitimisho la jumla ( general conclusion) kwa kutumia takwimu za mbele na kuziacha takwimu za nyuma, watu tuliaminishwa tunawadai ACCACIA TRILLION 425 leo wanasema KAMA itawezekana watatupa BILLION 700 halafu watanzania weeengi wanashangilia ,, mh!!????
 
We na siasa wapi na wapi ?au ndo njaa umejazwa pesa upambane na wapinzani ?Mimi nakujua vizuri sana tumesoma na kukua pamoja acha kujifanya unajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…