jisanja
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,075
- 684
Jerry Muro ni Mhariri wa habari na kama sikosei ni mwenyekiti wa jukwaa la Wahariri.... So usitegemee kumkuta sana kwenye interactive Journalism. Pili kuna habari ziliwahi kuletwa hapa kwamba amepata kazi CNN. Ila sijui ziliishia wapi.....!View attachment 217668
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Ni kat ya waandishi hodari na bora wa habari