cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 117,045
- 189,814
MaweseNazi
MaweseNazi
aya bwana mchoyoMawese
1. Waziri mwenye dhamana jitokeze kumnadi Mgombea wetu huko WHO. Akishinda Prof tumeshinda Tanzania nzima (bila kujali kabila wala Dini).
2. Nenda G20, AU, ECOWAS , COMESA, IGAD, EAC, Vatican na tumia network yako mliosoma nao Harvard University.
3. Mwijaku, Babalevo na Steve Nyenyere waandaliwe fungu la kusafiri na kamati yako.
Wee huogopi? 😂😂😂😂aya bwana mchoyo
Atatumia lugha ipi, Jenista amemloga Rais mpk amepitiliza, kumteua waziri wa Afya ni uonevu kwake Jenista na kwa watanzania. Hii ni wizara ya kitaalam Jenista ni mtupu jamani kwanini Rais hatuelewi? Mtu ht kusoma tu kiingereza hawezi mnamtakia mema kweli?1. Waziri mwenye dhamana jitokeze kumnadi Mgombea wetu huko WHO. Akishinda Prof tumeshinda Tanzania nzima (bila kujali kabila wala Dini).
2. Nenda G20, AU, ECOWAS , COMESA, IGAD, EAC, Vatican na tumia network yako mliosoma nao Harvard University.
3. Mwijaku, Babalevo na Steve Nyenyere waandaliwe fungu la kusafiri na kamati yako.
Aongee Kiswahili. Wapiga Kura watatasiriwaKwa kile kiingereza alichoongea mara ya mwisho licha ya kuwa alikuwa anasoma unafikiri yeye haogopi kutia aibu tena?