😄1. Waziri mwenye dhamana jitokeze kumnadi Mgombea wetu huko WHO.
2. Nenda G20, AU, ECOWAS , COMESA, IGAD, EAC na tumia network yako mliosoma nao Harvard University.
3. Mwijaku, Babalevo na Steve Nyenyere waandaliwe fungu la kusafiri na kamati yako.
Wizara nyeti anapewa mtu ilimradi liendeSenki you mr chea...😂
U-chawa ndio shidaWizara nyeti anapewa mtu ilimradi liende
Ova
Kumbe bila ndumba hatoboi 😹😹Yule hawezi kua bibi kwangu, ni mdogo sana kwa mama angu.
Ni mbunge wangu, yaan yule bila ulozi hatoboi, mganga wake ni kiboko toka msumbiji 1.
Diploma yake uchwara, uchawi hauvuki bahari, ila wa huyu mama umevuka na kuukwaa uwaziri wa Afya.
😂😂😂😂😂
Ila English yake, mie hoi, hivi hata huko Songea girls alifundisha nn? Sielewi hata
Maajabu hayaishi chini ya jua. Lol
Kheee yule mama kwa ndumba analala na kuamkia hapo.Kumbe bila ndumba hatoboi 😹😹
Songea girls alikua ticha wa kiswahili 🤣
Kumbe bila ndumba hatoboi 😹😹
Songea girls alikua ticha wa kiswahili 🤣
Inaelekea unamjuw vzrKheee yule mama kwa ndumba analala na kuamkia hapo.
Kwa kweli ni Kiswahili, tena njuka na 4m 2.
😂😂😂😂😂
Kwa kiasi chake namfahamu, juzi juzi binti yake wa mwisho, aitwae Victoria kaolewa.Inaelekea unamjuw vzr
Ova
Em kipe heshima Kingoni tafadhari.Kabla Jenister Mhagama kwenda Popote kumnadi professor Janabi, itabidi Jenister amuone kwanza Ras Simba ili akibrush kile kiingereza chake.
Hivi kile anachoongeaga Jenister ni Kiingereza au Kingoni?
Kheee yule mama kwa ndumba analala na kuamkia hapo.
Kwa kweli ni Kiswahili, tena njuka na 4m 2.
😂😂😂😂😂
Em kipe heshima Kingoni tafadhari.Kabla Jenister Mhagama kwenda Popote kumnadi professor Janabi, itabidi Jenister amuone kwanza Ras Simba ili akibrush kile kiingereza chake.
Hivi kile anachoongeaga Jenister ni Kiingereza au Kingoni?
Mbna yule ni mtu wa songea, kugala gala ki kwetu ni kufurahia jambo, au kushukuru kwa Wema uliotendwa.Ule mgalo galo itakuwa kajifunzia huko eeh? 😁
Peramiho CityEm kipe heshima Kingoni tafadhari.
😂😂haha
Mbna yule ni mtu wa songea, kugala gala ki kwetu ni kufurahia jambo, au kushukuru kwa Wema uliotendwa.
Hakukosea, sema watu hawajazoea.
Ena wenga, Kunyumba kwa bwina na kunogili.Peramiho City
Kumbe binti kakua, nakumbuka nimewaona wakiwa shule ya msingi Uwata, hapo kwao nimefika sana wakati mzee wao yupo nje kulikuwa na Mitsubishi Pajero 1st GenerationKwa kiasi chake namfahamu, juzi juzi binti yake wa mwisho, aitwae Victoria kaolewa.
Siku ya send off nilikuwepo pale kwake Makambi, na hadi ukumbini pale Songea Girls.
Afu kaanza kampeni mapema, hataki kuachia madaraka kwa wengine.
Ni mke wa mtu sahivi. Ndoa ilifungwa Dar.Kumbe binti kakua, nakumbuka nimewaona wakiwa shule ya msingi Uwata, hapo kwao nimefika sana wakati mzee wao yupo nje kulikuwa na Mitsubishi Pajero 1st Generation
Safi sanaNi mke wa mtu sahivi. Ndoa ilifungwa Dar.
Send off ilikua Songea.