Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,179
Lipo Dubai
Linaitwa Burj Khalifa
Lina urefu wa mita 829.8
Lina apartments za kuishi 900
Lina vyumba vya hoteli 304
Lina parking spaces 2957
Burj Khalifa Facts | CTBUH Skyscraper Database
Visit the Burj Khalifa -- The Tallest Building in the World
BBC - Swahili:
Waisilam wanaoishi katika jengo refu zaidi duniani, wanalazimika kusubiri muda zaidi kufutari kuliko waisilam wengine, kwa kuwa jua linachelewa kuzama huko walipo, kutokana na urefu wa jengo hilo.
Jengo hilo liitwalo Burj Khalifa liko Dubai.
Kiongozi wa juu wa kidini wa Dubai, Mohammed al-Qubaisi amesema wale wanaoishi zaidi ya ghorofa ya themanini, lazima wasubiri dakika mbili zaidi, baada ya muda kutimia mjini Dubai ili kupata futari yao.
Mwezi wa Ramadhani ulianza wiki moja iliyopita.
Gazeti la Mirror limesema shekhe huyo amesema wale wanaoishi katika ghorofa ya mia moja na hamsini na kuendelea, watalazimika kusubiri dakika tau zaidi ya wenzao.
Jengo hilo, Burj Khalifa, lina ghorofa mia moja na sitini. Waisilam huanza kula futari mara wanapoona jua limezama.
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/08/110813_kisa_mkasa.shtml
Linaitwa Burj Khalifa
Lina urefu wa mita 829.8
Lina apartments za kuishi 900
Lina vyumba vya hoteli 304
Lina parking spaces 2957
Burj Khalifa Facts | CTBUH Skyscraper Database
Visit the Burj Khalifa -- The Tallest Building in the World
BBC - Swahili:
Waisilam wanaoishi katika jengo refu zaidi duniani, wanalazimika kusubiri muda zaidi kufutari kuliko waisilam wengine, kwa kuwa jua linachelewa kuzama huko walipo, kutokana na urefu wa jengo hilo.
Jengo hilo liitwalo Burj Khalifa liko Dubai.
Kiongozi wa juu wa kidini wa Dubai, Mohammed al-Qubaisi amesema wale wanaoishi zaidi ya ghorofa ya themanini, lazima wasubiri dakika mbili zaidi, baada ya muda kutimia mjini Dubai ili kupata futari yao.
Mwezi wa Ramadhani ulianza wiki moja iliyopita.
Gazeti la Mirror limesema shekhe huyo amesema wale wanaoishi katika ghorofa ya mia moja na hamsini na kuendelea, watalazimika kusubiri dakika tau zaidi ya wenzao.
Jengo hilo, Burj Khalifa, lina ghorofa mia moja na sitini. Waisilam huanza kula futari mara wanapoona jua limezama.
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/08/110813_kisa_mkasa.shtml