Jengo Refu Zaidi Duniani

Jengo Refu Zaidi Duniani

Goodrich

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
2,091
Reaction score
1,179
Lipo Dubai
Linaitwa Burj Khalifa
Lina urefu wa mita 829.8
Lina apartments za kuishi 900
Lina vyumba vya hoteli 304
Lina parking spaces 2957

Burj Khalifa Facts | CTBUH Skyscraper Database

Visit the Burj Khalifa -- The Tallest Building in the World


Burj_Khalifa_building.jpg

vladstudio_burj_khalifa_1600x1200-dubai-wallpaper.jpg

BBC - Swahili:
Waisilam wanaoishi katika jengo refu zaidi duniani, wanalazimika kusubiri muda zaidi kufutari kuliko waisilam wengine, kwa kuwa jua linachelewa kuzama huko walipo, kutokana na urefu wa jengo hilo.

Jengo hilo liitwalo Burj Khalifa liko Dubai.
Kiongozi wa juu wa kidini wa Dubai, Mohammed al-Qubaisi amesema wale wanaoishi zaidi ya ghorofa ya themanini, lazima wasubiri dakika mbili zaidi, baada ya muda kutimia mjini Dubai ili kupata futari yao.
Mwezi wa Ramadhani ulianza wiki moja iliyopita.
Gazeti la Mirror limesema shekhe huyo amesema wale wanaoishi katika ghorofa ya mia moja na hamsini na kuendelea, watalazimika kusubiri dakika tau zaidi ya wenzao.

Jengo hilo, Burj Khalifa, lina ghorofa mia moja na sitini. Waisilam huanza kula futari mara wanapoona jua limezama.

http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/08/110813_kisa_mkasa.shtml
 
mh! aisee, kwa kuangalia tu naona kidhungudhungu
 
Hata hapo dar yapo mengi tu,angalia hata yale majengo pacha b.o.t ya balali
 
But China itajenga WORLD TALLEST BUILDING.... Sky City One .. 838meters tall.... itakuwa tayari at the end of April 2013....
 
Hao jamaa wa dubai wana project za kufa mtu..hilo jumba linaweza kuwa linatumia umeme wa kufa mtu.
 
Hao jamaa wa dubai wana project za kufa mtu..hilo jumba linaweza kuwa linatumia umeme wa kufa mtu.

Wanasema ACs peke yake zinatumia zaidi ya KiloWatts laki moja kwa siku.
 
Hayo majengo marefu yanachelewesha watu kula futari tu hayo.
 
Huo ni mnara Mrefu, sio jengo refu.
 
But China itajenga WORLD TALLEST BUILDING.... Sky City One .. 838meters tall.... itakuwa tayari at the end of April 2013....

Hawa Wachina naona wanataka kumchokoza Mungu. Waambieni wasome biblia Mwanzo 11:1-9 ili wajifunze huko kukwepa kibano cha Mungu!
 
Hata kucha nadhani sijui kunawahi au kuchelewa.
 
Back
Top Bottom