Jengo Refu Zaidi Duniani

Jengo Refu Zaidi Duniani

mnara mrefu sio jengo refu hebu edit title yako
 
mnara mrefu sio jengo refu hebu edit title yako

Mkuu, hilo ni jengo sio mnara. Ukiwa floor za juu ni kama uko kwenye ndege.
Nimekuwekea link uangalie, pia waweza ku gooole burj khalifa
 
noted mkuu
tatizo ukisoma site zingine wanasema ni tower
wenzetu wako mbali sisi hadi leo hatujafika hata gorofa 30
Mkuu, hilo ni jengo sio mnara. Ukiwa floor za juu ni kama uko kwenye ndege.
Nimekuwekea link uangalie, pia waweza ku gooole burj khalifa
 
litakuwa kuliko mnazi eeh!

Umenikumbusha mbali. Enzi hizo mifano inatolewa kwa vitu vilivypopo. Jamaa ana mbio kama chui, mfupi kama uyoga, mkali kama simba, anaimba vizuri kama kasuku n.k
 
Nikweli kabisa ndivyo ilivyo hajakosea.wa arabuuu.ndio maana makanisan niwachache sana,na wazungu niwache sana misikitini wanavutana hawa.lakin ma blak tuko pote pote yaani sisi ni wateja wao hatuna lolote sie
 
Nikweli kabisa ndivyo ilivyo hajakosea.wa arabuuu.ndio maana makanisan niwachache sana,na wazungu niwache sana misikitini wanavutana hawa.lakin ma blak tuko pote pote yaani sisi ni wateja wao hatuna lolote sie

True, were the farm
 
Back
Top Bottom