Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Mkuu MM
-Kuna madudu mengi sana NSSF ila huwa yanafunikwa na POAC na mpaka leo sijawahi kuelewa kwanini huwa hawayasemi...Time will tell
-Hata mwaka jana baadhi ya wabunge kushabikia shirika kujiingiza kwenye mradi wa umeme zaidi ya bilioni 300...yaani kila jambo NSSF ,Wanachama wao hawashirikishwi....bomu likija kulipuka sijui itakuwaje?
-ukiangalia hata sheria mpya wanazoziweka sasa ni kulinda wizi huu coz pesa nyingi imewekezwa kwenye issue ambazo hazilipi
sina uhakika na malengo yao kwa sasa,vision yao ni ipi ila nitaanza kufanya uchunguzi..why huwa hawagusi...
-Kuna madudu mengi sana NSSF ila huwa yanafunikwa na POAC na mpaka leo sijawahi kuelewa kwanini huwa hawayasemi...Time will tell
-Hata mwaka jana baadhi ya wabunge kushabikia shirika kujiingiza kwenye mradi wa umeme zaidi ya bilioni 300...yaani kila jambo NSSF ,Wanachama wao hawashirikishwi....bomu likija kulipuka sijui itakuwaje?
-ukiangalia hata sheria mpya wanazoziweka sasa ni kulinda wizi huu coz pesa nyingi imewekezwa kwenye issue ambazo hazilipi
sina uhakika na malengo yao kwa sasa,vision yao ni ipi ila nitaanza kufanya uchunguzi..why huwa hawagusi...