Which war are you talking about? no matter how this Rwandan refugee try to instigate war in TZ he will not succeed.
Pole sana Eddie anayekulipa mshahara na posho ndiyo huyo ataanzisha vita. Ipo siku moja kama mwenyezi atatujalia uzima utakuja hapa nakunena. CCM mnatufanya watanzania wapuuzi sana na elimu zetu ni hakuna kitu