Jembekafestival: Diamomd katika ubora wake

Jembekafestival: Diamomd katika ubora wake

Paul S.S

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
6,408
Reaction score
3,269
ImageUploadedByJamiiForums1432467752.791294.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1432467789.711129.jpg

Kwa mujibu wa Diamond tiketi zaidi ya elfu60 ziliuzwa uwanja ulijaa full
 
Team pinzani wamesema hizo tikiti ni za bure mashabiki walinunuliwa. Hata ile party walisema pia walivaiwa tikiti za bure.

Nimewakilisha tu. Ila mie naupenda mziki wa domo. Whatever he does in his private time i dont freaking care

halo haloo teampinzani...wangap tunapewaga tikit za bure na hatuhudhurii...yani watu.mapovu yamewajaa c.wakubali tu dogo ni shida kwa sasa???mxiuu
 
Hakuna kitu hapo kwanza mashabiki wameingia bure wote tumeipata ishu kamili kitu kiba bana
 
Team pinzani wamesema hizo tikiti ni za bure mashabiki walinunuliwa. Hata ile party walisema pia walivaiwa tikiti za bure.

Nimewakilisha tu. Ila mie naupenda mziki wa domo. Whatever he does in his private time i dont freaking care

Kma ni bure vp kuhusu wasanii wengine hawakulipwa na vp jembe fm walikuwa wanatafuta pesa au kugawa bure tikt....pima kwanza afu unongea
 
mbona kama kama diamond anatumia garama kubwa sana kuulinda umaarufu wake je kiuchumi kweli ataweza kulingana hata chamelion kweli?unawexa kuta alikiba anamzidi mkwanja benki maana sifa nyingi sana na anatumia pesa sana kuhonga watu wa media hadi mashabiki
 
mbona kama kama diamond anatumia garama kubwa sana kuulinda umaarufu wake je kiuchumi kweli ataweza kulingana hata chamelion kweli?unawexa kuta alikiba anamzidi mkwanja benki maana sifa nyingi sana na anatumia pesa sana kuhonga watu wa media hadi mashabiki

Anamuiga Lowasa na mipesa ya ufisadi.
 
Anamuiga Lowasa na mipesa ya ufisadi.

kati ya wanajf ambao huwa nawaheshimu wewe mmoja wapo bt. ushabiki wa kijinga unafanya uwe mjinga, kuna proof ya kuhonga hao mashabiki?? mpaka unaconclude hivo?? kwa pesa ipi unahonga watu 60000+??
 
kati ya wanajf ambao huwa nawaheshimu wewe mmoja wapo bt. ushabiki wa kijinga unafanya uwe mjinga, kuna proof ya kuhonga hao mashabiki?? mpaka unaconclude hivo?? kwa pesa ipi unahonga watu 60000+??

Ha haaaaa mkuu Matola linapokuja swala la kumponda Chibu na kumpaisha Kiba basi busara zake huwa anazipa likizo
 
Last edited by a moderator:
kati ya wanajf ambao huwa nawaheshimu wewe mmoja wapo bt. ushabiki wa kijinga unafanya uwe mjinga, kuna proof ya kuhonga hao mashabiki?? mpaka unaconclude hivo?? kwa pesa ipi unahonga watu 60000+??
Ukija huku hatuvai suti kama tupo bungeni uwe unajuwa kutofautisha haya majukwaa. Na ukija kugunduwa mimi ndio Babu Tale si ndio utazimia kabisa.
Ha haaaaa mkuu Matola linapokuja swala la kumponda Chibu na kumpaisha Kiba basi busara zake huwa anazipa likizo
Mjini bila fitna maisha hayaendi, hii ndio radha ya celeb, sasa wote tumfagilie Chibu utamu utatoka wapi? Bila ya sisi hawa watoto hawatofika popote kwahiyo sisi ni msaada mkubwa kwao ili waendelee kukomaa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom