Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
hilo sio tatizo, yeye ndio msanii anaosemwa saaaaaana,, so kwa kila kitu lazima awape amani mashabiki.. na wanakwambia adui muumize kwa mafanikio na nguvu yake katika media ndio inafunga kazi... kwa wenzetu mbele kawaida saana usipanik
suala la kuchambana hiyo ni akilini mwako wewe, huo ni mziki wa makabila kama mengine cha zaidi tu umepata airtime na kuwapa pride wazaramo kama muziki wa kuelimisha kwa kutumia zaidi mafumbo(zingifuri, turufu, n.k ukiwa saa mbovu huweziyajuwa haya)
afu suala la kusema uswahili, kwani we mzungu au???
eeheeiyaaa!!!