Jembekafestival: Diamomd katika ubora wake

Jembekafestival: Diamomd katika ubora wake

Ki moyo moyo wanamuelewa!ila kwakua walishachagua upande basi wanaona hawawez badilisha!napenda mkakati wake wa biashara huyo dogo,na his stage performance is second to none hapa E.Africa
 
Diamond Plutnumz" Tanzanian Icon
Anakila sababu yakujaza uwanja hitx kibao" Star looking " Hardworking "
 
mbona kama kama diamond anatumia garama kubwa sana kuulinda umaarufu wake je kiuchumi kweli ataweza kulingana hata chamelion kweli?unawexa kuta alikiba anamzidi mkwanja benki maana sifa nyingi sana na anatumia pesa sana kuhonga watu wa media hadi mashabiki

Manin.. Ally Kibaka haniziki hata mm kwa mkwanja na life langu la kubangaiza. Ana nini yule
 
Kwanini watanzania wanaamini uchawi. Mtu akifanikiwa tu watu mara kalipa watu mara sijui nini.
Mpeni sapoti hivi utajisikiaje siku wewe ndo umekuwa mtu kama yeye afu watu wanakusema hivyo
 
Ila msisahau hiyo shoo haikuwa ya daimondo peke yake....mkaibaka!!!!

Hbaba alikuwepo

Nature wa sintah alikuwepo

Yamoto band walikuwepo
 
Mjumbe hauwawi.

Huyu sasa nae ananyodo…!!! Mambo ya mimba yalifikaje apo tena? mbona yeye huku Mtwara duka la nguo tu kuliendesha limemshinda pale Nangwanda Stadium…!!??? Afanye yake ajiendeleze sio kukomalia wanayofanya wenzake alafu wanafanikiwa we unakalia hapohapo na.majungu yako
 
Anachomind huyo ni kuwa dai anafanya kama ilikua one man show wakati na wengine walikuwepo
 
Kwanini watanzania wanaamini uchawi. Mtu akifanikiwa tu watu mara kalipa watu mara sijui nini.
Mpeni sapoti hivi utajisikiaje siku wewe ndo umekuwa mtu kama yeye afu watu wanakusema hivyo

Wanasemwa hata waliojichokea mitaani sembuse Diamond? Usiposemwa maana yake hauexist.
 
Anachomind huyo ni kuwa dai anafanya kama ilikua one man show wakati na wengine walikuwepo

Sasa kwani show ilikuwa ya nani? Huyo HBaba ata sebule ya msela hawezi kujaza anataka apewe sifa za mwingine... Show alikuwa anatangazwa Diamond, ndio kuna wasanii walikuwepo ila ni katika kumsindikiza...Huu ndio ukweli show ilijazwa na ilikuwa ya Diamond.


HBaba Siku nyingine wasimpe ata hizi nafasi za kufungua show maana hana shukrani.
 
Anachomind huyo ni kuwa dai anafanya kama ilikua one man show wakati na wengine walikuwepo
Mkuu hapo sasa ndio utakapojua CHIBU anajua kucheza na akili za mashabiki wake, na hii ndio silaha yake kubwa

Nenda kwenye social media za wasanii wote walioshiriki hakuna hata mmoja aliyelipa coverage yakutosha kama Chibu, yaani hapo kuanzia mapokezi , sound check na shows yenyewe kwa mtu aliyeko Nijeria anaye mfollow chibu ataamini ile ilikua show ya mtu mmoja tu........ Kwanini?

Ana kamera man wake maalamu anacheza na angle ukiziona hizo picha utajua anayepiga anajua anakenga nini
In short Chibu anajua kucheza na media kuhakikisha unajua anafanya nini, nimecheck acc ya Nature nayamoto band masikini hawajapost chochote zaidi ya matangazo watakua kirumba
Unajua mtu anapoina kwenye social media yako unapost unajaza watu vile anaamini wewe ni bora na hata muandaa tamasha anavutika kukuita maana anaamini unauzika akiona tu post zako

Kilichopo ni kwamba fursa zilizopo wasanii hawazitumii mwenzao akizitumia wanaanza majungu
Ukweli usiopingika ni kwamba Chibu alidai alipwe pesa kwa kila tiketi itakayouzwa na si kumlipa kama walivyolipwa akina h baba
Yaani kama tiketi ni buku 5 basi yeye anataka buku mbili au tatu, fanya mara elfu60+ utapata idea anaweza kuwa amevuta ngapi
Hii inamfanya nayeye kuwa muandaaji na anapata faida kubwa zaidi kuliko kulipwa tu, una dhani kwanini amejua idadi ya tiketi na akaifurahia?
 
Mkuu hapo sasa ndio utakapojua CHIBU anajua kucheza na akili za mashabiki wake, na hii ndio silaha yake kubwa

Nenda kwenye social media za wasanii wote walioshiriki hakuna hata mmoja aliyelipa coverage yakutosha kama Chibu, yaani hapo kuanzia mapokezi , sound check na shows yenyewe kwa mtu aliyeko Nijeria anaye mfollow chibu ataamini ile ilikua show ya mtu mmoja tu........ Kwanini?

Ana kamera man wake maalamu anacheza na angle ukiziona hizo picha utajua anayepiga anajua anakenga nini
In short Chibu anajua kucheza na media kuhakikisha unajua anafanya nini, nimecheck acc ya Nature nayamoto band masikini hawajapost chochote zaidi ya matangazo watakua kirumba
Unajua mtu anapoina kwenye social media yako unapost unajaza watu vile anaamini wewe ni bora na hata muandaa tamasha anavutika kukuita maana anaamini unauzika akiona tu post zako

Kilichopo ni kwamba fursa zilizopo wasanii hawazitumii mwenzao akizitumia wanaanza majungu
Ukweli usiopingika ni kwamba Chibu alidai alipwe pesa kwa kila tiketi itakayouzwa na si kumlipa kama walivyolipwa akina h baba
Yaani kama tiketi ni buku 5 basi yeye anataka buku mbili au tatu, fanya mara elfu60+ utapata idea anaweza kuwa amevuta ngapi
Hii inamfanya nayeye kuwa muandaaji na anapata faida kubwa zaidi kuliko kulipwa tu, una dhani kwanini amejia idadi ya timeti na akaifurahia?

Hapa hata mimi nimekuelewa hawa wavuta bangi wanaokwenda na kandambiri studio wanataka Diamond ndio awapromote kwenye social media zao?

Kwahiyo hawa kenge hata wakialikwa kufanya show kwenye matamasha makubwa kama Kora watasubiri waandalizi ndio wawakusanyie picha za matukio? Kweli ujinga ni kipaji na maisha ya Temeke pia yana athari zake.
 
Team pinzani wamesema hizo tikiti ni za bure mashabiki walinunuliwa. Hata ile party walisema pia walivaiwa tikiti za bure.

Nimewakilisha tu. Ila mie naupenda mziki wa domo. Whatever he does in his private time i dont freaking care

Co tikiti sema ticket
 
Dogo anajua aisee.
Ana mashabiki
Ana swagg
Ana hela

Safi sana.

Sio kama yule zoba anaesukumwa lakini haendi.

Mi nampenda kiba ila kiukweli kumpinga diomond ni sawa na upunguani!!.. unaanzaje kumpinga mtu kama huyo sasa kama sio ujinga?? Kiba uwezo anao ila kuna sehemu anakosea na anakosea zaid anapotaka kushindana na domo ktk kipindi hiki
 
Diamond ana kipaji kikubwa ila ana fanikiwa kwa vile kwanza si mchoyo ame ajiri watu kila sehemu inayo itajika anaishi na wenzie kama familia moja pia ana juhudi katika na usubutu wa kufanya mambo makubwa pasipo kulizika
 
Kwanza show haikuwa ya mtu mmoja hilo lazima uelewe, wasanii wafuatao walikuwepo Rich mavoco, Barakah da prince, Madee, Yamoto, na Diamond sasa kwa hali hiyo ni lazima watu wajae,

Pia bila kusahau wale bodaboda wa kukodi lazima uwanja ujae wakuu
 
Back
Top Bottom