Jembekafestival: Diamomd katika ubora wake

Jembekafestival: Diamomd katika ubora wake

Mi nampenda kiba ila kiukweli kumpinga diomond ni sawa na upunguani!!.. unaanzaje kumpinga mtu kama huyo sasa kama sio ujinga?? Kiba uwezo anao ila kuna sehemu anakosea na anakosea zaid anapotaka kushindana na domo ktk kipindi hiki

Shida sio kushindana.

Jamaa hana cha maana anachofanya mjini hapa na mbaya zaidi analazimisha kuwa juu wakati hata video inasuasua.
 
Shida sio kushindana.

Jamaa hana cha maana anachofanya mjini hapa na mbaya zaidi analazimisha kuwa juu wakati hata video inasuasua.

Kiba hawezi jilinganisha ata na Mavoco huo ndio ukweli mchungu amshukuru sana platnumz huyu jamaa la sivyo tusingemsikia tena na ata leo diamond akisema aache mziki kiba atatafuta shughuli ingine ya kufanya kwani kama ulivyosema anasukumwa hasukumiki.
 
Mkuu hapo sasa ndio utakapojua CHIBU anajua kucheza na akili za mashabiki wake, na hii ndio silaha yake kubwa

Nenda kwenye social media za wasanii wote walioshiriki hakuna hata mmoja aliyelipa coverage yakutosha kama Chibu, yaani hapo kuanzia mapokezi , sound check na shows yenyewe kwa mtu aliyeko Nijeria anaye mfollow chibu ataamini ile ilikua show ya mtu mmoja tu........ Kwanini?

Ana kamera man wake maalamu anacheza na angle ukiziona hizo picha utajua anayepiga anajua anakenga nini
In short Chibu anajua kucheza na media kuhakikisha unajua anafanya nini, nimecheck acc ya Nature nayamoto band masikini hawajapost chochote zaidi ya matangazo watakua kirumba
Unajua mtu anapoina kwenye social media yako unapost unajaza watu vile anaamini wewe ni bora na hata muandaa tamasha anavutika kukuita maana anaamini unauzika akiona tu post zako

Kilichopo ni kwamba fursa zilizopo wasanii hawazitumii mwenzao akizitumia wanaanza majungu
Ukweli usiopingika ni kwamba Chibu alidai alipwe pesa kwa kila tiketi itakayouzwa na si kumlipa kama walivyolipwa akina h baba
Yaani kama tiketi ni buku 5 basi yeye anataka buku mbili au tatu, fanya mara elfu60+ utapata idea anaweza kuwa amevuta ngapi
Hii inamfanya nayeye kuwa muandaaji na anapata faida kubwa zaidi kuliko kulipwa tu, una dhani kwanini amejua idadi ya tiketi na akaifurahia?

we jamaa me huwa nakuelewa sana.
 
ata hiyo tuzo aliyoshinda juzi kama asingekuwepo diamond kwenye hiyo category kiba asingeshinda ni promo tu kutoka kwa antidiamond ambao wengine walikua wanansupport before kama hao kina Wema. Jamaa sa hivi anashine kwa kudra za platnumz.
 
mbona kama kama diamond anatumia garama kubwa sana kuulinda umaarufu wake je kiuchumi kweli ataweza kulingana hata chamelion kweli?unawexa kuta alikiba anamzidi mkwanja benki maana sifa nyingi sana na anatumia pesa sana kuhonga watu wa media hadi mashabiki

acha uzushi ww ulikuwepo wakati anawahonga umekalia uzushi na kuropoka vitu usivovijua loooooohhhh.....
 
Ila msisahau hiyo shoo haikuwa ya daimondo peke yake....mkaibaka!!!!

Hbaba alikuwepo

Nature wa sintah alikuwepo

Yamoto band walikuwepo
Dah! Kweli aisee manake hata Rwanda ilikuwa hivyo hivyo... kulikuwa na wasanii kibao tu lakini watu wanazusha kwamba Diamond alijaza show, si unaona hapa:
R1.jpg

The concert had a large number of spectators

Although Diamond sings most of the songs in playback, it made a great satisfaction to the spectators to his movements that proved his preparations for this concert and the intense joy of the spectators shows the love that Rwandans has to his music.

R2.jpg

Mr. Diamond Platnumz on the stage

R3.jpg

Fans showed how much they have been waiting for him with great love

R4.jpg R4.jpg

Diamond with his dancing group were spectacular

R5.jpg

After repeating this song several times, Diamond called fans on thé stage and they danced "Number One" hit

Mara eheee, haya ndo kwanza yanaanza kutokea:


R6.jpg

R7.jpg

King James sang last and he had a little number of fans because after the performance of Diamond they began to go back home!!!!

Hayo maneno ya kizungu hakuna langu hata moja, kama ni uzushi ni Wanyarwanda wenyewe, hawa hapa!!!
 
Mi nampenda kiba ila kiukweli kumpinga diomond ni sawa na upunguani!!.. unaanzaje kumpinga mtu kama huyo sasa kama sio ujinga?? Kiba uwezo anao ila kuna sehemu anakosea na anakosea zaid anapotaka kushindana na domo ktk kipindi hiki

Baeleze baeleze!!!!!
 
Manin.. Ally Kibaka haniziki hata mm kwa mkwanja na life langu la kubangaiza. Ana nini yule

Ahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!anakuzidi mikopo aisee maana anadaiwa huyo utafikiri serikali ya kikwete!!
am just saying!!!!
 
Diamond ana kipaji kikubwa ila ana fanikiwa kwa vile kwanza si mchoyo ame ajiri watu kila sehemu inayo itajika anaishi na wenzie kama familia moja pia ana juhudi katika na usubutu wa kufanya mambo makubwa pasipo kulizika

Haswaaa mdau umenena vyemaa!!!ukitoa nawe utapewa!kwa wenzetu kule kutwa kucha wanafukuza madancer!!
 
Dah! Kweli aisee manake hata Rwanda ilikuwa hivyo hivyo... kulikuwa na wasanii kibao tu lakini watu wanazusha kwamba Diamond alijaza show, si unaona hapa:
View attachment 254288

The concert had a large number of spectators

Although Diamond sings most of the songs in playback, it made a great satisfaction to the spectators to his movements that proved his preparations for this concert and the intense joy of the spectators shows the love that Rwandans has to his music.

View attachment 254290

Mr. Diamond Platnumz on the stage

View attachment 254291

Fans showed how much they have been waiting for him with great love

View attachment 254292View attachment 254292

Diamond with his dancing group were spectacular

View attachment 254293

After repeating this song several times, Diamond called fans on thé stage and they danced "Number One" hit

Mara eheee, haya ndo kwanza yanaanza kutokea:


View attachment 254294

View attachment 254295

King James sang last and he had a little number of fans because after the performance of Diamond they began to go back home!!!!

Hayo maneno ya kizungu hakuna langu hata moja, kama ni uzushi ni Wanyarwanda wenyewe, hawa hapa!!!

Siku zote hizi mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake!sasa wenzangu na mimi wamekalia kumpelekea majani mbuzi aliyekibandani halafu wanategemea afanane na anayezunhuka na kamba porini kweli!?!?

Chibu ni hazina kwa taifa hili!
am just saying!!!
 
Team pinzani wamesema hizo tikiti ni za bure mashabiki walinunuliwa. Hata ile party walisema pia walivaiwa tikiti za bure.

Nimewakilisha tu. Ila mie naupenda mziki wa domo. Whatever he does in his private time i dont freaking care
kama anauwezo wa kuwanunua hao watu wote ninaowaona hapo basi huyu dogo ni shidreeeeee!! kajamaa ni kabillionea basiii, coz hao watu hapo wapo toka saa 6 mchana, mond kapanda kucheck sound watu wakapagawa mbaya, wakamsubiri more tha 12 hours mpaka alipopanda @ 8 usiku hakuna aliyekuwa amejisogeza mahali, so if that patient its was for money basi walilipwa ghali saaaanaaaaaaaa!! haiwezekani iwe ni kwa kupewa tiketi tuu wakamsubiri mtu wasiompenda that long!!!? mnaosema hao watu hapo uwanjani wamenunuliwa try to relate! other wise you are just haters as we already knows you!
 
kiba alivyonunua team wakaunganisha nguvu kama UKAWA mbona hamkusema????? eeee!!???? mbona hamkusemaaaaa!!???? au unafikiri hatujui???? hahahahahaaaa kama nawaona utakavopanic!! mxiuuuuuuuwwwww zenu
 
Back
Top Bottom