Jeffery Samson Mkuki: Msomi wa Chuo Kikuu anayehangaika kijijini bila ajira

Kwema Mzee baba. Shuta shuta mwendo wa ngiri, hakuna kulala, ukipepesa kidogo wanakomba mboga na vyombo wanakuachia uoshe.

Si unaona vijana wanavyopigika za ugoko huko?
Huu Uzi hatari unafufua wafu!!! Kiranga, waaambie wanirudishie rambirambi zangu
 
Kisa cha huyu jamaa kimenikumbusha mjomba wangu mmoja hivi,Benja alimaliza Makerere Un,akarudi Tukuyu kusalimia ili akaanze kazi,tunazungumzia 70s hapo.
Basi mpaka miaka ya 80 mi napita kusalimia yuko pale anataga.
Hakuchomoka ngo'.yuko na novel zake na vyeti vyake na briefcase ina nondo zote.
Ila wamemjengea kagheto ka nyasi na shamba kubwa limemzunguka.huyu mjomba alikua analetewa breakfast, lunch,dinner basi ye aah katulia tu.kilichokuja kuzindua ndg wote waliomzunguka walikufa,wengine wakapata uchizi wakahama,jamaa nae akamalizia kauza mashamba na kila kitu katimka.
Siku nakutana nae kijijini pale aah kapiga ujiuji shati na ana moka msafi sio yule.
 
This man is not serious
Telecommunication unarudije kijijini?
Graduate wa 2013 mbona wakati huo mambo ya ajira yalikua na unafuu sana ukilinganisha na miaka hii.

Yote kwa yote mi naona jamaa hayuko serious, anaweza kuwa na maisha magumu lakini sio hayo aloamua kuishi yeye
 
That's very stupid.... ilitakiwa asome..na ww Kwa maoni yako unaona maisha kayapatia kabisa
 
Hataki atathminiwe....maana anajua akili za watu wa jf zilivyo....ingewekwa pic yake watu wangeanza na msambwanda umekaaje!!
Kwanini wanaume wa Dar hawaridhiki na sura ya mwanamke? Lazima waone nyuma ndio watoe koment. Nauliza hii migongo inatusaidia nini
 
Kwanini wanaume wa Dar hawaridhiki na sura ya mwanamke? Lazima waone nyuma ndio watoe koment. Nauliza hii migongo inatusaidia nini
Mkuu inaamsha software kwa haraka kichwani....inapeleka taarifa kwenye kichwa cha chini kinaamka na kuwa imara sana
 
Reactions: T11
Kama alipata ajira huko "mujini" ilishindikana nini kuwasaidia hao ndugu zake akiwa hukohuko na ndugu zake wakiwa kijijini?

Kinachofuata atauza hiyo HP yake, hapo siilaum serikali kwanza. Namlaum yeye moja kwa moja
 
Huyu jamaa mwenyezimungu amfanyie wepesi alikuwa sababu ya mimi kufaulu vizuri somo la physics waliopita chief Senge watakubaliana namimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…