YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,888
Dunia kitendawili Kuna vijana wadogo la saba mafundi wazuri wanatengeneza simu zilizoharibika.Wanapata pesa huyo engineer ana digriii ya mambo ya simu hawezi fungua hata kibanda Cha kutengeneza simu mbovu.Kwani unasoma ili uajiriwe??