Jeffery Samson Mkuki: Msomi wa Chuo Kikuu anayehangaika kijijini bila ajira

Mtailaumu serikali lakini ukumbuke wafanyakazi wote wa serikali hawafiki laki saba, ukumbuke tupo watanzania zaidi ya milioni 55 na zaidi kila siku watu wanasoma hivo lazima tubadili mitazamo yetu kwanza na kubadili mfumo wa elimu yetu ili tusonge mbele zaidi maana duniani kote ni sekta binafsi ndio imeajiri watu wengi kuliko sekta ya umma hivo tupambane ili kuipigania sekta binafsi isianguke izidi kukua na kuleta mapinduzi kwenye maisha ya vijana wetu pia.
 
Kwema Mzee baba. Shuta shuta mwendo wa ngiri, hakuna kulala, ukipepesa kidogo wanakomba mboga na vyombo wanakuachia uoshe.

Si unaona vijana wanavyopigika za ugoko huko?
Si walikuwa wanasoma kwa kukariri

Ndomana wengine sisi ni viraka

Ova
 
Si walikuwa wanasoma kwa kukariri

Ndomana wengine sisi ni viraka

Ova
Ujanja mwingi, mbele kiza. Haraka haraka haina baraka. Mwendapole hajikwai.

Maisha ya kukariri hayajawahi kumuacha mtu salama.

Kuna masela hata six hawajashika na wanakula utamu wa maisha kama warina asali!

Huku tunatengeneza jeshi la mainjinia wasioweza kupata ajira, tena kwa mikopo mikubwa tu.
 
Mi naona huyo diwani ni msaada tosha, hebu amfanyie mpango basii hata awe mwenyekiti wa kijiji hapo senge village.
Kuna wahitimu wengine hawapati fursa hata ya kukutana na mjumbe wa nyumba kumi sembuse diwani.
 
Duh hii mistari hatari

Ova
 
Amesema alikuwa ameajiriwa na makampuni ya mawasiliano, akaacha ili kuja kukaa na wadogo zake. Sasa hapo anawasaidia kuliko kama ambavyo angewasaidia alipokuwa na kazi yake? Kama atakuwa mzima basi anakuzidi wewe!
Haya bwana.
 
Kosa lako mama Ndalichako,kuwapa elimu isiyowasaidia wahitimu...πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯
Elimu yetu ina mushikeli sana. Iko kwenye kupata ufaulu mkubwa kuliko kuelimika. Hivi telecom engineer atakosaje kitu cha kufanya? Hata kufundisha hesabu na physics basi. Yaani game limekataa kabisa mpaka kurudi nyuma mazima?
 
inspirational huyu ni tajiri kuliko wenye masters kibao
 
Alafu bodi hapo bado wanamdai,dah life hili halieleweki kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…