Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
- Thread starter
- #101
Mbona haujataja utitili wa magazeti ya Mzee Mengi??tumekuwa wahanga wa jambo tusilolijua!Bila shaka wamekupata GAME THEORY. Tuna tatizo kubwa sana Tz. Kuna watu bila aibu wanathubutu kuwatetea mafisadi! Hebu waanzishe Forum yao tujue moja: kwamba wanawatetea mafisadi kwa maslahi yao. Watuachie hii JF tupambane kwa lengo la kuirejesha nchi yetu kwenye mwelekeo sahihi. Magazeti uliyoyataja yanamilikiwa na mafisadi kama ifuatavyo: Sauti Huru (Subash Patel), Nyundo/Tazama (Lowassa), Mtanzania/Rai (Rostam Aziz), Taifa Tanzania (Nazir Karamagi). Na sasa fisadi Tanil Somaiya ameinunua Channel 10. Hebu sikilizeni upuuzi kwenye TV station hii iliyokuwa inaheshimika kabla ya kuangukia mikononi mwa mafisadi. Inasikitisha. Lakini ushindi katika vita hii ngumu dhidi ya ufisadi ni lazima!
Tujenge nchi yetu iliyo dodnoka..
Hivi kwanini tusianze upya tu??