uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,235
- 874
WOGA, ambao kwa lugha nyingine wanaita PHOBIA ni ugonjwa ambao unapatikana kwa walimwengu wote ila inategemeana aina na approach yake.
Kuna aina nyingi ya phobia ( woga)
1. Glossophobia -- ni woga wa mtu kushindwa kuongea mbele za watu.
2. Acrophobia - ni woga ambao mtu anaogopa vitu virefu, kupanda milima, gorofa, nk
3. Aviophobia - woga ambao mtu anaogopa kupanda ndege.
4. Dentophobia -woga wa mtu kung'oa Jino.
5. Homophobia - woga unaomshika mtu akiona damu , au mtu anayevuja damu.
6. Arachnophobia - woga unaompata mtu kwa Mdudu nge.
7. Cynophobia - woga wa mbwa , na Mimi hapa nipo bado sijaweza kuondokana na hili.
8. Nyctophobia -- hofu ya Giza au wakati wa usiku, Mara nyingi hii inaanza kwa watoto, ikiendelea ukubwani ni tatizo .
Woga kitaalamu inatokea kwa sababu mtu ameweka kumbukumbu za habari na mambo mabaya kichwani mwake.
Kuna mtu alivyokuwa anakuwa aliteswa na mjomba, mama wa kambo, alitengwa nk. Sasa kama hakukombolewa huyu mtu atakuwa mtu mwenye tatizo la WOGA.
Woga una madhara ambayo hasa ukiingia nao katika Mahusiano iwe ni kazini, ndoa, makanisani nk, ni rahisi kuvunjika.
Mtu muoga siku zote anaona ubaya tu kwa sababu ana kumbukumbu mbaya .
Dalili zao kubwa kujijua wewe ni Muoga, unatetemeka miguu na mikono hasa unaposimama mbele za watu. Mapigo ya moyo kwenda mbio, kukata kwa pumzi,kutoka jasho nk .
Mtu Muoga kusonga mbele ni shughuli hasa kama ni mfanyabiashara, hawezi kuona fursa, wengi wanapenda kuwa chini ya,,,, hasa kuajiriwa.
Usiwe na woga bila sababu kwani woga ukizidi unapata ukichaa (schizophrenia)
Je unatokaje, kuna madawa yanaitwa ant anxiety medication lakini sikushauri tumia neno la Mungu.
Soma 1petro5:7
"Huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote , kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu".
Lakini andika Woga wako katika karatasi na ukiwa peke yako, soma huku ukiipinga hiyo hali, ndani ya Siku 21. Subconscious mind itapokea na kufuta hiyo hali
Be inspired
Kuna aina nyingi ya phobia ( woga)
1. Glossophobia -- ni woga wa mtu kushindwa kuongea mbele za watu.
2. Acrophobia - ni woga ambao mtu anaogopa vitu virefu, kupanda milima, gorofa, nk
3. Aviophobia - woga ambao mtu anaogopa kupanda ndege.
4. Dentophobia -woga wa mtu kung'oa Jino.
5. Homophobia - woga unaomshika mtu akiona damu , au mtu anayevuja damu.
6. Arachnophobia - woga unaompata mtu kwa Mdudu nge.
7. Cynophobia - woga wa mbwa , na Mimi hapa nipo bado sijaweza kuondokana na hili.
8. Nyctophobia -- hofu ya Giza au wakati wa usiku, Mara nyingi hii inaanza kwa watoto, ikiendelea ukubwani ni tatizo .
Woga kitaalamu inatokea kwa sababu mtu ameweka kumbukumbu za habari na mambo mabaya kichwani mwake.
Kuna mtu alivyokuwa anakuwa aliteswa na mjomba, mama wa kambo, alitengwa nk. Sasa kama hakukombolewa huyu mtu atakuwa mtu mwenye tatizo la WOGA.
Woga una madhara ambayo hasa ukiingia nao katika Mahusiano iwe ni kazini, ndoa, makanisani nk, ni rahisi kuvunjika.
Mtu muoga siku zote anaona ubaya tu kwa sababu ana kumbukumbu mbaya .
Dalili zao kubwa kujijua wewe ni Muoga, unatetemeka miguu na mikono hasa unaposimama mbele za watu. Mapigo ya moyo kwenda mbio, kukata kwa pumzi,kutoka jasho nk .
Mtu Muoga kusonga mbele ni shughuli hasa kama ni mfanyabiashara, hawezi kuona fursa, wengi wanapenda kuwa chini ya,,,, hasa kuajiriwa.
Usiwe na woga bila sababu kwani woga ukizidi unapata ukichaa (schizophrenia)
Je unatokaje, kuna madawa yanaitwa ant anxiety medication lakini sikushauri tumia neno la Mungu.
Soma 1petro5:7
"Huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote , kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu".
Lakini andika Woga wako katika karatasi na ukiwa peke yako, soma huku ukiipinga hiyo hali, ndani ya Siku 21. Subconscious mind itapokea na kufuta hiyo hali
Be inspired