Je, wewe una phobia (uoga)?

Mimi huwa nina challenge vitu vingi ambapo mpaka watu wananishangaa
Nilikuwa nina hamu sana ya bungee jumping nikafanya pia siku naruka kwenye helicopter ndio kabisa natamani nirudie Mara kumi
Napenda kukaa juu mbele kama picha la titanic nikiwa kwenye meli kuangalia dolphin.

Lakini woga ambao nimeshindwa ni kenge huyu kiumbe ananikera mpaka nikaamua kumla siku moja ili asinisumbue kichwani lakini wapi.
Napenda sana nyoka
Heee hii Kali

Hongera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom