Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,377
Kama mada inavyojieleza hapo
Kuna hiki kiwango cha elimu ya Stashahada ya Uzamili katika Elimu(Postgraduate Diploma in Education) ambacho mtu aliesomea degree ya fani tofauti na ya ualimu anasoma hii PGDE ili awe na sifa ya kuwa mwalimu na hatimaye aajiriwe as a teacher
Sasa ni miaka inakata kuna rafiki zangu walisoma hii PGDE ili wawe walimu ila cha ajabu kila wakiomba wanapigwa chini na wamemaliza miaka mingi.
Je, kwa ajira za TZ PGDE haina nafasi ya kuajiriwa kama mwalimu?
Najua hapa kuna wajuvi wa mambo jaribuni kufungua watu macho kwenye hili suala ili wapate kujua chochote kitu.
Kuna hiki kiwango cha elimu ya Stashahada ya Uzamili katika Elimu(Postgraduate Diploma in Education) ambacho mtu aliesomea degree ya fani tofauti na ya ualimu anasoma hii PGDE ili awe na sifa ya kuwa mwalimu na hatimaye aajiriwe as a teacher
Sasa ni miaka inakata kuna rafiki zangu walisoma hii PGDE ili wawe walimu ila cha ajabu kila wakiomba wanapigwa chini na wamemaliza miaka mingi.
Je, kwa ajira za TZ PGDE haina nafasi ya kuajiriwa kama mwalimu?
Najua hapa kuna wajuvi wa mambo jaribuni kufungua watu macho kwenye hili suala ili wapate kujua chochote kitu.