Je Diploma in secondary education itafutwa?

Boeing787-8

JF-Expert Member
Aug 16, 2018
798
843
Wakuu karibu tujadili.

Sahivi Kuna sera mpya ya Elimu, na imepitishwa na serikali, na katika sera hiyo, Kuna mabadiliko kwenye eneo la walimu.

Katika sera mpya Ili ufundishe Sekondari ni lazima uwe na Degree/ Shahada.

Na Ili ufundishe shule ya msingi lazima upitie kidato Cha sita afu usome diploma.

Sahivi kuna vijana Wana diploma za ualimu wa secondary.

Je hao wataendelea kuajiriwa Sekondari au watapelekwa shule za msingi?

Na je ni halali mwalimu wa Diploma kufundisha Sekondari?

Karibu
 
Wakuu karibu tujadili.

Sahivi Kuna sera mpya ya Elimu, na imepitishwa na serikali, na katika sera hiyo, Kuna mabadiliko kwenye eneo la walimu.

Katika sera mpya Ili ufundishe Sekondari ni lazima uwe na Degree/ Shahada.

Na Ili ufundishe shule ya msingi lazima upitie kidato Cha sita afu usome diploma.

Sahivi kuna vijana Wana diploma za ualimu wa secondary.

Je hao wataendelea kuajiriwa Sekondari au watapelekwa shule za msingi?

Na je ni halali mwalimu wa Diploma kufundisha Sekondari?

Karibu
Mbona kama unateseka wewe utauwa H kunani si uende tu ukasome upate shahada, Hujiulizi mbona shule ya msingi kuna walimu kibao wana shahada.

hivi hujawahi kujiuliza walimu wa shule za msingi waliopita kidato cha sita wakutosha nchi nzima watatoka wapi wakati hawapo(wengi ni cheti)
sasa nani ataefundisha huko wakiodolewa na bado hawawezi kuondolewa wakati mkataba wao ni permanent and pensionable.

Ipo hivi huo waraka utawahusu walimu ambao watatunukiwa astashahada na shahada kipindi waraka ukianza kutumika, pia utawahusu walimu ambao hawaja ajiriwa maama wako nje ya mfumo.
Mwisho: Kama unaona elimu uliyonayo haikutoshi fanya kujiendeleza na kuhusu mambo za waraka keep constant.
 
Mbona kama unateseka wewe utauwa H kunani si uende tu ukasome upate shahada, Hujiulizi mbona shule ya msingi kuna walimu kibao wana shahada.

hivi hujawahi ujiuliza walimu wa shule za msingi waliopita kidato cha sita wakutosha nchi nzima watatoka wapi wakati hawapo(wengi ni cheti)
sasa nani ataefundisha huko wakiodolewa na bado hawawezi kuondolewa wakati mkataba wao ni permanent and pensionable.

Ipo hivi huo waraka utawahusu walimu ambao watatunukiwa astashahada na shahada kipindi walaka ukianza kutumika, pia utawahusu walimu ambao hawaja ajiriwa maama wako nje ya mfumo.
Mwisho: Kama unaona elimu uliyonayo haikutoshi fanya kujiendeleza na kuhusu mambo za waraka keep constant.
Povu?? waraka unaanza kutumika this year.
 
Mbona kama unateseka wewe utauwa H kunani si uende tu ukasome upate shahada, Hujiulizi mbona shule ya msingi kuna walimu kibao wana shahada.

hivi hujawahi ujiuliza walimu wa shule za msingi waliopita kidato cha sita wakutosha nchi nzima watatoka wapi wakati hawapo(wengi ni cheti)
sasa nani ataefundisha huko wakiodolewa na bado hawawezi kuondolewa wakati mkataba wao ni permanent and pensionable.

Ipo hivi huo waraka utawahusu walimu ambao watatunukiwa astashahada na shahada kipindi walaka ukianza kutumika, pia utawahusu walimu ambao hawaja ajiriwa maama wako nje ya mfumo.
Mwisho: Kama unaona elimu uliyonayo haikutoshi fanya kujiendeleza na kuhusu mambo za waraka keep constant.
Na point yangu ni kuwa kama Nina diploma in secondary education Kwa huu mtahara napelekwa msingi au secondary
 
Wakuu karibu tujadili.

Sahivi Kuna sera mpya ya Elimu, na imepitishwa na serikali, na katika sera hiyo, Kuna mabadiliko kwenye eneo la walimu.

Katika sera mpya Ili ufundishe Sekondari ni lazima uwe na Degree/ Shahada.

Na Ili ufundishe shule ya msingi lazima upitie kidato Cha sita afu usome diploma.

Sahivi kuna vijana Wana diploma za ualimu wa secondary.

Je hao wataendelea kuajiriwa Sekondari au watapelekwa shule za msingi?

Na je ni halali mwalimu wa Diploma kufundisha Sekondari?

Karibu
Ndio,hakuna Mwalimu atasomea cheti tena itakuwa ni degree tuu bila kujalisha ngazi
 
Back
Top Bottom