ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
mi ni chotara nimezaliwa na mama mndegoreko na baba mnyakyusa nimetokea chotara.nitajazaa na platozoom mtoto atakayezaliwa atakuwa ni chotara.hiki kizazi tulichonacho ni cha machotara au vip?if yes like it,if no comment 9ce 9t 2 all.
Haaa mashambeshombeeee beibe!
Nadhani chotara inahusika na "mmatumbi" na "mgobachor" tu na sio mmatumbi kwa mmatumbi.
mnyee mnyeee, ha ha haha
Na watoto wenu mnalelea fesibuku! Matokeo yake kiinglish hawajui, kilugha holaa, kiswahili hamuna, wanaandika ile lugha ya xana na hacra!
hata ukizaa watoto nje ya ndoa ni machotara vile vile.
babu Zambia, babu mwingine Rwanda, bibi Uganda, bibi mwingine TZ nikazaliwa Mnyamwezi.
Na watoto wenu mnalelea fesibuku! Matokeo yake kiinglish hawajui, kilugha holaa, kiswahili hamuna, wanaandika ile lugha ya xana na hacra!
Hahaaa,dah hiyo kali. mtoto anakua yupoyupo tu hashiki moja wala mbili. tuna kazi kweli kipindi hiki
me .5! hahaa
Na wewe ni mmojawapo ungekuwa hujui hiyo lugha usingeandikaNa watoto wenu mnalelea fesibuku! Matokeo yake kiinglish hawajui, kilugha holaa, kiswahili hamuna, wanaandika ile lugha ya xana na hacra!