Je, Watanzania hatuaminiani?

Ndio maana tumesaini mikataaba22 na Moroccokumbe wote wahuni anaeuza cheni bandia na mtoa pesa bandia ngoma draw
 
Shida kubwa zaidi ni wale walioko katika mamlaka za kufanya maamuzi hawako tayari kuona haya na kuyafanyia kazi! Yanawasaidia kuendelea kuwa kwenye power!
 
Labda watupige mabomu, hii nchi inaenda mbele vibaya mno. Hao nabwana zenu kama hamjui wanaiongelea Tanzania kinyiume chake.
Hizi akili za kudhani wazungu wanatutawala kumbe ni sisi wenyewe hatujui ni tufanye na tunakuwa wajinga/wazembe tunakimbilia kusema wazungu wanataka kutuendesha hazitusaidii.
 
Hongera sana Tanzania, tunapenda kuwa wa kwanza kwenye kila kitu. Hongera sana nchi yangu
 
Mkuu ungeandika "Tanzania ILIKUWAGA hivyo" lakini si SASA hivi.
Maana nikiisoma nakuangalia ni report iliyo STALE INFORMATION/NEWS/ Report ILIYOPITWA na WAKATI!

Maana kama nikuifuata basi iliandikwa ZAMANI pengine 2013-15.
Baadaye ikawa EDITED/ HARIRIWA 2016.
Halafu ikawekwa ONLINE Mwezi wa TATU/March 06/2016.

Hivyo iliandikwa BEFORE Magufuli aanze kuliongoza taifa la Tanzania. Na ilipowekwa online Magufuli alikuwa na MIEZI tu madarakani.

Sasa hivi NCHI IMEBADILIKA hebu wafanye utafiti tena HAWATAPATA hizo negative/hasi data zao kuhusu Tanzania!.
Wa tanzania ni waaminifu na tutazidi kuwa ni waaminifu!
Sikatai kuwa pale mwanzoni KULIKUWA na MADUDU mengi sana!
 
Tafiti uchwara hizo, kwa sasa wafitni wa nchi hii ni wengi kuanzia ndani mpaka nje ya nchi.
 
Mkuu umetizama vizuri utafiti wao umegusa ktk sehemu zipi
 
Mkuu umetizama vizuri utafiti wao umegusa ktk sehemu zipi
Ni hizo hizo alizoziweka kwa mhutasari. kama vile
Honesty,
GDP.
Political FRAUD we are almost out of there.
Uwezo wa kiutawala nk.
Naamini kuna improvement. Japo siyo 100% lakini tunajaribu.
Political parties sasa wanaweza kufanya mikutano yao ya NDANI bila bugdha si hiyo nayo ni hatua?
Rome HAIKUJENGWA siku MOJA!
Ninaamini tuna nafasi ya KUJIREKEBISHA hatua kwa hatua!
Ama unasemaje mkuu?
 
Ndio maana tumesaini mikataaba22 na Moroccokumbe wote wahuni anaeuza cheni bandia na mtoa pesa bandia ngoma draw
Kweli ndege wa aina moja huruka pamoja lakini hiyo mikataba ni uongo hamna kitu hapo maana TZ na Moroko wote ni wasanii tu.
 
Umesahau taifa ambalo sio aminifu ni marekani na washilika wake?
 
Wenzetu Morocco sio waaminifu lakini matajiri lakini sisi sio waaminifu lakini maskini
 
ndege wafananao huruka pamoja hivi ule mkataba wa kujenga uwanja na msikiti ushaanza kufanyiwa kazi?
 
unataka kuniambia ndio maana yule mfalme wa kule...naniliu...alikuja kumtembelea mwenzake...??...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…