Je wana JF wengi walisoma /wanasoma Chuo gani?

kwa Tanzania quality education iko pale, kama unabisha zitakua ni siasa za jf

Hiyo Quality ip jina au.. maana kwenye udahil wa kaz tuu mnachemka sana hamna lolote nyie mnaenda pale na kulewa sifa hahahah...
 
Back
Top Bottom